Dereva Suka
Senior Member
- Sep 25, 2014
- 176
- 289
Inductive reasoning which always leads to biased conclusion.
Hahaha mkuu ipo ila ngoja nseme kikubwa huwa wanajoto wana asili ya asali![]()

Kwakweli, lasivyo utasubiri uone sifa bila mafanikio. Leo naomba tu tuwe weusi dota.

Hello black beauty. Kwa kweli ni kwenda tu na upepo lol, kupata sifa ni adimu sana nowadays
Wana K Matata Sana, trust me,
Hawajivuni, wanajua kupenda japo wengi huishia kuumizwa,
Wengi ukiwaona haraka haraka hauwezi gundua ubora wao, ishu nao uone

Yalaa basi sifa unazo toa raman watu waje bibieeHapana, mimi mweusi.
Vip za ck haba shem ulikuwa kimyaNzur shem kwema kbs
Wanajamvii habari za weekend, nitakuwa nadhulumu nafsi nisipowapa sifa wanawake wote weusi kwa kuwa wananivutia sana huwa nahisi ni kutokana na mimi nilivyo ila....
Kwa wachache niliokutana nao walikuwa waaminifu, wakweli, wakipenda wanapenda kweli, washauri wazuri, hawajiskii, hawana tamaa, waelewa, hupenda kukupa lift unapokwama, wivu unaotakiwa, waelewa, wanasubira pia.n.k.
May God bless all black women..
Mkuu avater yako inasadifu ulivo huenda ukawa blackcute kuliko wote jf ntaifind kapicha kako







Hello black beauty. Kwa kweli ni kwenda tu na upepo lol, kupata sifa ni adimu sana nowadays

Unajibu kama kademu kangu fulan
Kakumind ww si black beautyKwa kweli, au ameamka vizuri tu leo.
Pouwa sana lakini, power to us!