Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
Hopefully alikuwa anataniaMgombea Wa Chama Dola
Akiwa Kwa Mkapa![]()
Na matani ni kawaida kwa binadamu
Hopefully alikuwa anataniaMgombea Wa Chama Dola
Akiwa Kwa Mkapa![]()
Kwamba nyie ni wabayaKwani kuna nini tena Jamani
Weusi tumeambiwa nini???![]()
Mwenye macho mazurimimi pia ni cheusi mangala![]()

Nawapenda weusi mpaka homainakuja,sijawai fall in love na mwanamke mweupe kamwe,mweusi nachanganyikiwaTumechoka kupigwa madogo jukwaani, tena kama mimi nilivyo black kuniona hadi utumie tochi hata kama ni mchana, nina hasira yani usiku wankuamkia 28 silali nisije nikapitiwa usingizi nikasahau kwenda kwenye boksi la maamuzi
Eeeeee shauri yenu.Mbona shauri yetu tena
Za miaka mkuuJael tunaitwa huku kina cheusi
Nakucheki tuKwani kuna nini tena Jamani
Weusi tumeambiwa nini???![]()
asante sana kiongozi wa msafaraKaribuni sana