Wanawake wenzangu kujeni tutete kidogo!

Wanawake wenzangu kujeni tutete kidogo!

Itaneni muambizane. Alafu pia mngejaribu kukanyana na swala la umbea
 
Ulijuaje kuna wanaume wanajua kupika jungu mpaka unajiuliza angekuwa wanamke ingekuwaje kila cku angekuwa anasutwa
Yaani acha kabisa! Na soon wanatupiku maana wako vizuri zaidi
 
Sio tu pana,bali pia ni ndefu. Lakini inajaa wanawake.
Weeeh!! Yaani maybe kwakuwa wanawake ni wengi kuliko wanaume kwa idadi, lasivyo mngetuzidi kabisaaa!!
 
Weeeh!! Yaani maybe kwakuwa wanawake ni wengi kuliko wanaume kwa idadi, lasivyo mngetuzidi kabisaaa!!
Wanawake sidhani kama mnaweza ishi bila umbea.

Back 2009 nakumbuka nilipita sehemu flani hivi karibu na home,kulikuwa na wadada kama wanne wamekaa nje ya saluni. Nilivyopita ghafla wakakaa kimya,ila nilisogea mbele kidogo waliangua kicheko chenu kile cha kimbea.

Sikujali nikaenda zangu dukani,kurudi nawapita wakauchuna tena ,ile nakata kona tu nikaskia wameangau kicheko. Nilijiskia vibaya ila nikaondoka,mbele nikakutana na broh anaelekea nilipotoka alipofika lile eneo akawaskia wanasema " Maskini hakana hata nyama,kanakonda kisa kusoma"

Ila walistuka na kualiangalia chini walipomuona broh maana walijua atakuja niambia tu.

Wanawake wanawake tu,alaf umbea wenu hauna tija.
 
Wanawake sidhani kama mnaweza ishi bila umbea.

Back 2009 nakumbuka nilipita sehemu flani hivi karibu na home,kulikuwa na wadada kama wanne wamekaa nje ya saluni. Nilivyopita ghafla wakakaa kimya,ila nilisogea mbele kidogo waliangua kicheko chenu kile cha kimbea.

Sikujali nikaenda zangu dukani,kurudi nawapita wakauchuna tena ,ile nakata kona tu nikaskia wameangau kicheko. Nilijiskia vibaya ila nikaondoka,mbele nikakutana na broh anaelekea nilipotoka alipofika lile eneo akawaskia wanasema " Maskini hakana hata nyama,kanakonda kisa kusoma"

Ila walistuka na kualiangalia chini walipomuona broh maana walijua atakuja niambia tu.

Wanawake wanawake tu,alaf umbea wenu hauna tija.
Umbea ni umbea tu, uwe na tija au usiwe na tija. Wote tu wambea, hata huu pia ni umbea.
[emoji85] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Back
Top Bottom