Wanawake wenye vipini puani

Wanawake wenye vipini puani

Ila hapa kinachotusumbua ni utofauti mkubwa wa tamadun, mila na desturi zetu ndan ya taifa moja la makabila mengi.
Nitakuwa wa mwisho kuvalisha tabia kwenye hizo urembo kwa wengine.
Najiuliza ujisahahu upeleke kwetu mwanamke ana kikuku, pini za puan na jichoni au mishanga. Walai atalazwa chooni!
Najiuliza mke wa mtu kwetu akutwe kasasambua. Aisee.
Ama kweli Najivunia kwetu bila kudharau wengine
Sisi kwetu kuanzia bibi yake bibi alitoboa na hakuwa malaya wala nini maana ukweli haufichiki, na vijukuu na vitukuu mwendo ni uleule tuu.. Vitu vingine ni tabia ya mtu tuu...😂😂😂
 
Wacha weee! Msomi aki present dissertation yake, mnasoma ila mnaishia kuwa namna hii.
 
Wenye vipini puani mojani micharuko, pili hata uwelewa ni mdogo(elimu), watata, wanaenda kwa mpalange.

faida gharama yao ni cheap.
 
Back
Top Bottom