Mr Why
JF-Expert Member
- Nov 27, 2019
- 1,131
- 1,941
Ukweli usemwe tu kuna wadada wa ajabu sana. Wengine sura zao zimekomaa kama za madume kulegea hawataki. Unaeza kuwa nae chumbani mpaka ukashtuka yani wanakaza sana kama sisi madume anakaa kama dume ule utamu wa mwanamke haupo kabisa na wanafanya mapenzi kama hawataki yani hawataki kujishusha kwa mwanaume wanakaza muda wote.
Kwenye mapenzi 5% mke huyu ukimuoa usitegemee kubembelezwa wala kuheshimiwa hiyo kitu sahau kabisa, baba kambale mama kambale wote wana ndevu.
Wanaume wengi waliozaliwa mikoa hiyo huwa wanaoa makabila mengine kwasababu wanajua thamani ya mme ni nini sio hawa majikedume ambao hawana unyenyekevu kwa waume zao.
Wanawake wengi wenye hizi tabia majadiliano yao mengi ni kuhusu kutukomoa sisi wanaume hawana kabisa jicho la haya, jicho la kike, binti huyu anakutolea jicho kama jogoo bana sasa mwanaume ni yupi hapo.
Ndugu zangu mlio oa wake wenye tabia hizi poleni sana kwa changamoto mnazipitia.
Kwenye mapenzi 5% mke huyu ukimuoa usitegemee kubembelezwa wala kuheshimiwa hiyo kitu sahau kabisa, baba kambale mama kambale wote wana ndevu.
Wanaume wengi waliozaliwa mikoa hiyo huwa wanaoa makabila mengine kwasababu wanajua thamani ya mme ni nini sio hawa majikedume ambao hawana unyenyekevu kwa waume zao.
Wanawake wengi wenye hizi tabia majadiliano yao mengi ni kuhusu kutukomoa sisi wanaume hawana kabisa jicho la haya, jicho la kike, binti huyu anakutolea jicho kama jogoo bana sasa mwanaume ni yupi hapo.
Ndugu zangu mlio oa wake wenye tabia hizi poleni sana kwa changamoto mnazipitia.