Sababu kubwa ni 2 tu.
1. Wanaume kwa asili huwa wanamtongoza mwanamke ambaye wanamuona ni mnyonge (ambaye hana sifa zote za uzuri) ili kuwa na uhakika wa kukubalwa. Wanaume huogopa kutongoza pisi kali kwa hofu ya kukataliwa.
Kwahiyo wanaume huwatongoza zaidi hawa wadada wenye sura, nyayo na mwendo wa baba zao. Ndiyo maana ni kawaida kwa dada pisi kali kukosa mume au mpenzi kwa kuwa wanaume wengi wanaogopa kuwatongoza.
2. Wadada sura mbovu huwa hawajiamini na wanaogopa kupoteza bahati.
Wakitongozwa hukubali kirahisi kwa kuwa wanahisi wakikataa wengine hawatakuja. Wajanja wanajipigia na kuwazalisha kisha wanasepa. Huyu bidada anabakia kuwa singo mama.
Huu ni uchunguzi uliofanywa kwa Ustadi mkubwa na Sexless
1. Wanaume kwa asili huwa wanamtongoza mwanamke ambaye wanamuona ni mnyonge (ambaye hana sifa zote za uzuri) ili kuwa na uhakika wa kukubalwa. Wanaume huogopa kutongoza pisi kali kwa hofu ya kukataliwa.
Kwahiyo wanaume huwatongoza zaidi hawa wadada wenye sura, nyayo na mwendo wa baba zao. Ndiyo maana ni kawaida kwa dada pisi kali kukosa mume au mpenzi kwa kuwa wanaume wengi wanaogopa kuwatongoza.
2. Wadada sura mbovu huwa hawajiamini na wanaogopa kupoteza bahati.
Wakitongozwa hukubali kirahisi kwa kuwa wanahisi wakikataa wengine hawatakuja. Wajanja wanajipigia na kuwazalisha kisha wanasepa. Huyu bidada anabakia kuwa singo mama.
Huu ni uchunguzi uliofanywa kwa Ustadi mkubwa na Sexless