Baadhi ya wanaume wanawasifia sana wanawake wenye ndevu,
Inasemakana wanautofauti mkubwa sana hasa kwenye mapenzi na mafanikio kimaisha..
Binafsi sijawahi kulidhibitisha hili...
Wadau wa MMU, mnajua nini juu ya hili?
Afu si wengi wenye nazo!
destiny1 hujui kuzitumia ndevu zako ipasavyo, hebu ni PM namba yako ya simu nikufundisheNina midevu, na sijafanikiwa kimaisha wala kimapenzi. Sio kweli..............
Wana homoni za kiume ndio maana wengi hawaogopi kujaribu, ni wepesi katika kufanya maamuzi magumu na niwavumilivu sana.
Wengi wao wanaweza kusimama kwa miguu yao wenyewe, bila kutegemea buzi wala kidumu.
Na kwa kuongezea...ni watamu sana..mie ninaye. Asikuambie mtu..pia ni smart kichwani...na wanaweka hoja mezani kiasi kwamba ukiwa legelege anakuwa yeye baba wewe unakuwa mama. Kifupi ni majembe na ndio maana wengi wao wana-mafanikio ki-maisha. Go geter attitudes.
destiny1 hujui kuzitumia ndevu zako ipasavyo, hebu ni PM namba yako ya simu nikufundishe