Wanawake wenye misambwanda hawanivutii kabisa

Wanawake wenye misambwanda hawanivutii kabisa

Kiongozi, I hope you are not african. Unawezi kuzaliwa Africa na mama baba waafrika lakini usiwe Mwafrika. Hilo ni kawaida kutokea hasa zama hizi. Hao wamama wadada wa maumbo hayo, usifikiche macho wala kutumia akili ya computer ; hao ndo wakiafrika. Ndiyo maumbo ya kiafrika. Unajua kila utamaduni una "taste" zake. Wewe mwafrika unakuwaje na taste za kizungu? Unless you have been Europeanized. And if you are an African and you are Europeanized, oooh no that's not good. Inabidi utiwe maji, ili uurudie Uafrika wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wemma: 23245384 said:
Kiongozi, I hope you are not african. Unawezi kuzaliwa Africa na mama baba waafrika lakini usiwe Mwafrika. Hilo ni kawaida kutokea hasa zama hizi. Hao wamama wadada wa maumbo hayo, usifikiche macho wala kutumia akili ya computer ; hao ndo wakiafrika. Ndiyo maumbo ya kiafrika. Unajua kila utamaduni una "taste" zake. Wewe mwafrika unakuwaje na taste za kizungu? Unless you have been Europeanized. And if you are an African and you are Europeanized, oooh no that's not good. Inabidi utiwe maji, ili uurudie Uafrika wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu me baba mbongo
 
Kiongozi, I hope you are not african. Unawezi kuzaliwa Africa na mama baba waafrika lakini usiwe Mwafrika. Hilo ni kawaida kutokea hasa zama hizi. Hao wamama wadada wa maumbo hayo, usifikiche macho wala kutumia akili ya computer ; hao ndo wakiafrika. Ndiyo maumbo ya kiafrika. Unajua kila utamaduni una "taste" zake. Wewe mwafrika unakuwaje na taste za kizungu? Unless you have been Europeanized. And if you are an African and you are Europeanized, oooh no that's not good. Inabidi utiwe maji, ili uurudie Uafrika wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
unataka kutuaminisha kwamba Afrika hakuna wanawake wembamba

*Akifa shekhe kazi ya Mungu*
*Akifa mlevi sababu ya Pombe*
 
Sijui kwanini me sipendi warembo wanene,yani akipita kimbaumbau utaona mijicho inavyonitoka.

f6c63f5a5a10e3133a03e75691b9f42b--healthy-women-beautiful-black-women.jpg

Sijui ile wanaita misambwanda na mimi vitu viwili tofauti,siwezi kupoteza mda wangu kugeuka nyuma kuusindika Kwa macho msambwanda.

Sasà kakipita kadogo Dogo hivi basi kamoyo kanaanza kwenda mbio mbio bhana

Ila kama unajijua upo kama hawa hata usinishobokee maana wee sio wa type yangu
maso.jpg

h
AgnesMasogange1.jpg


Deadbody
dah pole sana mm ndio wale wa group 0

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unataka kutuaminisha kwamba Afrika hakuna wanawake wembamba

*Akifa shekhe kazi ya Mungu*
*Akifa mlevi sababu ya Pombe*
Kwani Ulaya hakuna wanawake wanene. Sikiliza, nasema, wanawake wanene ndiyo maumbo ya taste ya kiafrika. Siwasemi mabinti zangu wembamba, hapana. Nasema, kama ilivyo Ulaya wamama wanene siyo taste yao wazungu (ingawa wanawake wanene kule Ulaya bado wana haki zote) ila si unajua wazungu hawapendi pendi. Likewise huku kwetu pamoja na haki zooote kwa wamama wembamba lakini for real African mmmmh siyo taste Yetu. Ukienda kule kwetu(usiniulize) kama mke wako kwa miaka miwili hajaongezeka, oooh you are in trouble, utaitiwa Wazee unaulizwa una tatizo gani kimaisha. Eeeh and that's African.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom