Wanawake wenye misambwanda hawanivutii kabisa

Wanawake wenye misambwanda hawanivutii kabisa

Kwani Ulaya hakuna wanawake wanene. Sikiliza, nasema, wanawake wanene ndiyo maumbo ya taste ya kiafrika. Siwasemi mabinti zangu wembamba, hapana. Nasema, kama ilivyo Ulaya wamama wanene siyo taste yao wazungu (ingawa wanawake wanene kule Ulaya bado wana haki zote) ila si unajua wazungu hawapendi pendi. Likewise huku kwetu pamoja na haki zooote kwa wamama wembamba lakini for real African mmmmh siyo taste Yetu. Ukienda kule kwetu(usiniulize) kama mke wako kwa miaka miwili hajaongezeka, oooh you are in trouble, utaitiwa Wazee unaulizwa una tatizo gani kimaisha. Eeeh and that's African.

Sent using Jamii Forums mobile app
sawa ,je kupenda wembamba kunadhihirisha mimi si muAfrika?

*Akifa shekhe kazi ya Mungu*
*Akifa mlevi sababu ya Pombe*
 
sawa ,je kupenda wembamba kunadhihirisha mimi si muAfrika?

*Akifa shekhe kazi ya Mungu*
*Akifa mlevi sababu ya Pombe*
Sasa naona nikuache tu maana hatujakubaliana kukubaliana. Nakuacha na huo mtazamo wako. Nilikuwa zaidi nazungumzia "philosophy" ya mwanamke mnene. Najua wapo wanawake wembamba hata ndani ya family yangu wapo. Najua kuna akina nyie possibly wachache, mnaopenda kizungu. Sawa lakini naangalia kwa upana zaidi. Leo nenda pale Kariakoo (could be any where Mwz, Mby , A town, whereever) weka wadada wawili; mwembamba (siyo aliyekonda) na mwanamke mmmh mnene (siyo unene uzembe) sasa waambie wanaume wajipambe nyuma ya wanayempenda (kwa nia ya kupiga kura tu lakini) unadhani wanaume wengi watajaa nyuma ya yupi ? Uwe mkweli tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ukiona ivyo uwezo wa kuwamiliki hauna,kama uwezo wk wa bajaji pambana nao tu maroli waachie wny uwezo wao ndg yng
 
Sasa naona nikuache tu maana hatujakubaliana kukubaliana. Nakuacha na huo mtazamo wako. Nilikuwa zaidi nazungumzia "philosophy" ya mwanamke mnene. Najua wapo wanawake wembamba hata ndani ya family yangu wapo. Najua kuna akina nyie possibly wachache, mnaopenda kizungu. Sawa lakini naangalia kwa upana zaidi. Leo nenda pale Kariakoo (could be any where Mwz, Mby , A town, whereever) weka wadada wawili; mwembamba (siyo aliyekonda) na mwanamke mmmh mnene (siyo unene uzembe) sasa waambie wanaume wajipambe nyuma ya wanayempenda (kwa nia ya kupiga kura tu lakini) unadhani wanaume wengi watajaa nyuma ya yupi ? Uwe mkweli tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
ok hapo nimepata logic yako mkuu

*Akifa shekhe kazi ya Mungu*
*Akifa mlevi sababu ya Pombe*
 
Mmmh mwenye misambwanda wote nalala nao mbele. JPM

Sent using Jamii Forums mobile app
Heeeh JPM anaingilia hadi mambo haya.... mmmmh inawezekana maana jamaa huwa hana mipaka yeye anaweza kusema kuanzia kesho wanawake wote wanene waende JKT wakapunguze shape. Akiagiza hilo walahi Mimi na uzee nitaandika bango na nitaandamana kupinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada utakuwa na asili ya zombified...Most blacks fond for bigg bums.
 
Amna ata anayemshobokea uyuu kwanza itakuwa hana nguvu za kiumee ndo maan[emoji2][emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo jamaa haangali future tu .we oa huyo kimbaumbau wako halafu subiri uzee upige hodi baada ya toto kuanzi 3.
Kimbau anapata kitumbo no takos and chuchu kama baloon lilokosa hewa!
Lakin ze bonges anazeeka na msambwanda wake hapo kifuani ndio usiseme chuchu mtindi lakini wakati wa harakati ile bouncing inakupa maruweruwe ah mwenye msambwanda akiniroga hela zake hazina kazi vile alivyo nineshajiroga zamani!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo jamaa haangali future tu .we oa huyo kimbaumbau wako halafu subiri uzee upige hodi baada ya toto kuanzi 3.
Kimbau anapata kitumbo no takos and chuchu kama baloon lilokosa hewa!
Lakin ze bonges anazeeka na msambwanda wake hapo kifuani ndio usiseme chuchu mtindi lakini wakati wa harakati ile bouncing inakupa maruweruwe ah mwenye msambwanda akiniroga hela zake hazina kazi vile alivyo nineshajiroga zamani!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaahahahahhhahah[emoji11][emoji11]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom