Odoemma
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 828
- 876
Apanaa kwa kweli ukiwa msafii uwezi nuka kabisa lolUnasemaje kuhusu kashifa ya kunuka kunako nanilii sababu ya joto kweli..!
Sent using Jamii Forums mobile app
Apanaa kwa kweli ukiwa msafii uwezi nuka kabisa lolUnasemaje kuhusu kashifa ya kunuka kunako nanilii sababu ya joto kweli..!
Haya sawa! shida ni kweli wote mnaweza kuwa wasafi??
Siyo wote ndio ila ata kwa kimbaumbau akiwa mchafu lazima atoe harufHaya sawa! shida ni kweli wote mnaweza kuwa wasafi??
Experience inaonesha wenye big inya mnadisturb equilibrium kunako nailii..! Muda pikupikuu...Siyo wote ndio ila ata kwa kimbaumbau akiwa mchafu lazima atoe haruf
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa umejaaliwa mama...hongera
Afadhali ushindani kwenye misandambwanda upungue.Sijui kwanini me sipendi warembo wanene,yani akipita kimbaumbau utaona mijicho inavyonitoka.
![]()
Sijui ile wanaita misambwanda na mimi vitu viwili tofauti,siwezi kupoteza mda wangu kugeuka nyuma kuusindika Kwa macho msambwanda.
Sasà kakipita kadogo Dogo hivi basi kamoyo kanaanza kwenda mbio mbio bhana
Ila kama unajijua upo kama hawa hata usinishobokee maana wee sio wa type yangu
![]()
h
![]()
Deadbody
Amna ata anayemshobokea uyuu kwanza itakuwa hana nguvu za kiumee ndo maan[emoji2][emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaahah umeonaa eeeh itakuwa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
ANA AFYA YA BAISKELI UKIINYONGA SAANA MNYORORO UNAKATIKA[emoji3]