Wanawake wenye misambwanda hawanivutii kabisa

Wanawake wenye misambwanda hawanivutii kabisa

Sijui kwanini me sipendi warembo wanene,yani akipita kimbaumbau utaona mijicho inavyonitoka.

f6c63f5a5a10e3133a03e75691b9f42b--healthy-women-beautiful-black-women.jpg

Sijui ile wanaita misambwanda na mimi vitu viwili tofauti,siwezi kupoteza mda wangu kugeuka nyuma kuusindika Kwa macho msambwanda.

Sasà kakipita kadogo Dogo hivi basi kamoyo kanaanza kwenda mbio mbio bhana

Ila kama unajijua upo kama hawa hata usinishobokee maana wee sio wa type yangu
maso.jpg

h
AgnesMasogange1.jpg


Deadbody
Misambwanda tuachie sisi wenye viungo vya uzazi vikubwa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamna noma mkuu kila mtu anaugonjwa wake,mfano wanaume wa bara la Asia wanavutiwa zaidi na matiti makubwa ya wanawake,hawana time na misambwanda kabisa kama ulivyo wewe.na hata wanawake mfano wa kichina wanahangaika na kubusti/kuongeza nyonyo tu sio makalio maana huko kwao sio dili
 
Wewe una damu ya kizungu mkuu maana wadhungu wanapenda wanawake portable wanatembea wameshikana mikono hahahaaa hasa wazungu wasomi wake zao portable vimbaumbau vingi vinajiamini kiakili viko vizuri very active
 
Kwani Ulaya hakuna wanawake wanene. Sikiliza, nasema, wanawake wanene ndiyo maumbo ya taste ya kiafrika. Siwasemi mabinti zangu wembamba, hapana. Nasema, kama ilivyo Ulaya wamama wanene siyo taste yao wazungu (ingawa wanawake wanene kule Ulaya bado wana haki zote) ila si unajua wazungu hawapendi pendi. Likewise huku kwetu pamoja na haki zooote kwa wamama wembamba lakini for real African mmmmh siyo taste Yetu. Ukienda kule kwetu(usiniulize) kama mke wako kwa miaka miwili hajaongezeka, oooh you are in trouble, utaitiwa Wazee unaulizwa una tatizo gani kimaisha. Eeeh and that's African.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa mkuu umenikumbusha kakaangu alioa mwanamke mwembamba sasa baada ya miaka miwili ikabidi waende kusalimia wazee mke yuko vilevile et wazee wanauliza kwani unamfanya nn mbona haongezeki au unampiga?? Hii inaweza kuwa kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom