Wanawake wenye miaka 38-48...

Wanawake wenye miaka 38-48...

Kwa nini mkuu..unaweza kutoa sababu…??

nadhani wengi unakuta ni masingle mama au wajane ..na kwa kipindi hicho wanakuwa tayari wameshapoteza matumain ya kuolewa tena..so wakikukubali hawaoni issue kukupa mzigo...the good thing about this madame they got no hard feeling and no strings attached...we piga mzigo baada ya hapo ukizingua kila mtu anakula 50 zake
 
nadhani wengi unakuta ni masingle mama au wajane ..na kwa kipindi hicho wanakuwa tayari wameshapoteza matumain ya kuolewa tena..so wakikukubali hawaoni issue kukupa mzigo...the good thing about this madame they got no hard feeling and no strings attached...we piga mzigo baada ya hapo ukizingua kila mtu anakula 50 zake

mnhh wanaosumbuliwa na mawazo ya kuolewa ni wale walio nje kidogo ya umri wa kuolewa..may be 28-38 years,yaani uwe na miaka 48 mawazo ya kuolewa yakusumbue??..utakuwa na walakini..nachojua ukifika huu umri unakuwa ume accept ndoa is more unlikely....na pia utakuwa ushaanza early stages za menopause..so kumpa mtu papai sidhani kama ni priority , though kuna exceptions.....
 
mnhh wanaosumbuliwa na mawazo ya kuolewa ni wale walio nje kidogo ya umri wa kuolewa..may be 28-38 years,yaani uwe na miaka 48 mawazo ya kuolewa yakusumbue??..utakuwa na walakini..nachojua ukifika huu umri unakuwa ume accept ndoa is more unlikely....na pia utakuwa ushaanza early stages za menopause..so kumpa mtu papai sidhani kama ni priority , though kuna exceptions.....

watu wengi wa age hiyo huwa wapo kwenye kujitengenezea furaha zaidi...so kuwa na mahusiano katika age hiyo is just for having funny and explore more......kuna msemo kuwa watu wa age ya 38-50 huwa na mzuka mno wa kundondomola ..so hutumia time iyo kula raha tu...menopause mara nyingi huanza kwenye early 50s
 
1.Hiyo ni age iliyojaa majuto ya bahati alizochezea, zilizojitokeza mwanzo.

2. Hiyo ni age ambayo kama kuna aliyemtenda miaka ya nyuma; anakuwa ameshasahau. Sasa anawaza kuanza upya kwa ari na nguvu zote. Na huwa wako makini sana na ukionesha upendo kwake anakupenda zaidi na zaidi. Ni wazoefu sana kwenye mahusiano.

3. Ni age ambayo wengi wao wanaanza kujitambua zaidi na kuona umuhimu wa kuwa na mwenza. Hata wale waliokuwa mapepe.

4. Ni age ya kuelekea kwenye Menopause. Hivyo nao wanakimbizana nao pia.

Wako very wise na heshima ila ni wenye hasira unapowakosea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu garama ni 0 kwao mtaan wapo kazi yao ni kuwapa mashamba boy mzogo sa juzi nikaamua namimi nirudishe Mpira kwa kipa alaaaaaaa kipa si akaudaka ikaligwa faulo ndani ya box kitu imo ni watamu wazoefu wanaweza kubembeleza hawana wivu na zaid ukimkuna akakunika jua kabisa mabwanga utayasikia au utayaona kweny komed

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom