huwez kumbabaisha na lolote aic hutasikia me kazi yangu ataukitaka nikulishe au nikutunze naweza unasemaje??
Inferiority complex
hamna cha usawa wala nini unawagegeda tuu .
halafu wanaume hawapendi wanawake wanaowachallenge!
Wanataka uwakubalie mawazo yao, ndo maana wengine utaskia mi sioi msomi wasumbufu, na sababu zingine nyiingi hawana lolote.
chezeiya gegedo wewe! elimu yote inabaki kwenye ch.upi pembeni.
Inferiority complex
ukiona mwanaume kaoa mwanamke mwenye kazi yake nzuri ujue huyo jamaa ni mvivu na ni mariooo AKA Yahaya...
si kweli..ndoa yangu ina 17yrs. nimesoma (degree) na nnafanya kazi. wanaume punguzeni ubabe. ke anapoonesha anajua haki zake anaonekana jeuri, hafai
na wanamme wasio na kazi?
and what are the gender roles again?
Mkuu umefanya generalization kubwa sana. There are some of women with their career thriving and yet they are the best wives a man can get. I think the most important thing is for the two to agree once they are in the house, kila mtu ajue role yake in the house as a wife or husband and everything will run smoothly. Kwangu mini, I will prefer a lady who is working!!!
Mkuu sio kweli kuna wanawake wana elimu kubwa sana lakn ni very heshma.
Cc christine ibrahim my lovely hubby
Nenda zako bhana!!!!!snowhite alienda ujeremani kulogea kombe ili walipate. Naona atarudi, jana nilimuona kiwanjani na yule bibi yulee mwenye suti ya pinki