BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,230
Inferiority complex
hello jf
nimejifunza jambo hili moja kwamba wanawake waliona kazi na waliokwenda shule siyo wife material kwa sababu eti huthamini kazi kuliko waume zao hivyo basi huishia kuachika mapema
je kweli?
ila asilimia kubwa ya waliosoma ni wasumbufu kweli, weng huwa wanasahau sex and gender roles
So usiposoma na usipokuwa na kazi basi wewe ni wife material tayari? Inategemea na akili ya mtu coz kwa mwanamke anayejua kutofautisha majukumu yake ya kikazi na familia basi hatoachika kwa kutokuwa wife material. Na kuna wanawake wengine hawajasoma but wamejiajiri, hawa nao sio wife materials?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Napenda sana wasusi make wanajua kumasaji sana hujaolewa?Hii mada hainihusu mie msusi...
kama anakipato? Lazima kadharau tu ila siyo wote kuna wengine anweza kuwa na elimu ya kutosha tu na akawa mnyenyekevu but it is very seldom
So usiposoma na usipokuwa na kazi basi wewe ni Iwife material tayari? Inategemea na akili ya mtu coz kwa mwanamke anayejua kutofautisha majukumu yake ya kikazi na familia basi hatoachika kwa kutokuwa wife material. Na kuna wanawake wengine hawajasoma but wamejiajiri, hawa nao sio wife materials?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Labda huyu aliyeleta hii mada atuambie yeye ameoa yupi mana sisi.tulioa waskipsoma tena hadi Phd hatujaonatatizo. Mada hii haina mashiko!!
and what are the gender roles again?
Hii mada hainihusu mie msusi...
duh!! hii inaonyesha ni jinsi gani tulivyoyashika maisha yenu,kila cku kutujadili tuuu, mara wanawake hiki mara wanawake kile!!!!
wanawake wake wengi waliosoma ni tatizo katika familia...wanajifanya wafemenisti sana, kitu kidogo..wanataka usawa
Hii mada hainihusu mie msusi...