Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 9,076
- 30,952
Yaani nimecheka jamani mweeh
Acha tu.. Aliyeuleta sijui amefikiria nini.. Lol.
Yaani nimecheka jamani mweeh
Acha tu.. Aliyeuleta sijui amefikiria nini.. Lol.
Wenye tausi?
Ule Upande wa Baharini..
Na hizo comments sasa khaaa
AmiinaMoto wa mbinguni uwe makaz yaoo ya milele
Kule ilipopigwa ile mizinga wakati Mama anaingia nyumba nyeupeWenye tausi?
Hao wapigwe na radi tuWale Wala Nauli Walaamiwe!
Kiwanja Salasala..Sisi wenye tunafungua vifungo vya shati wenyewe?
Mwenyewe nakuuuufa kicheko.Kiwanja Salasala..
Ila Snow hizi comment zako unazidi kunichekesha..
Upewe MkoaHahaha we acha tu.
Yani inafunguliwa tu zipu tu paaap
Gauni inapandishwa juu
Pichu inasogezwa upande inashikiliwa kwa msaada wa watu wa marekani.
Ila impromptus huwaga tamu sana.
Kwamba niumiliki?Upewe Mkoa
Kabisa halafu upewe na Bombadier moja uende Ukahudhurie kikao na Chief Hangaya MarekaniKwamba niumiliki?
UuuuwihKabisa halafu upewe na Bombadier moja uende Ukahudhurie kikao na Chief Hangaya Marekani
Nyie itabidi tumpokonye Daimondi Ile Rolisi Roisi tuwape nyie halafu Wewe ujengewe sanamu pale daraja la kijaziDJ BAK niletee sisi tunaosema "Pole baba" kila baada ya goli.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.Nyie itabidi tumpokonye Daimondi Ile Rolisi Roisi tuwape nyie halafu Wewe ujengewe sanamu pale daraja la kijazi
Ila Dada kwa hizi comment zako inaonekana una Roho nyeupe ya kizungu, ubarikiwe sana ikikupendeza tukupe Ziwa Victoria tulibadili jina tuweke jina lakoUuuuwih