Chief Kumbyambya
JF-Expert Member
- Jun 16, 2022
- 490
- 1,461
Wasalaaaaaam…. Nawasalimu kwa jina la upendo wa dhati…
Unajua katika chunguza chunguza yangu ndani ya miaka ya hivi karibuni kumekuwa na wimbi kubwa sana la wanaume wanaolia lia eti kisa mwanamke ni mzuri basi jamaa atajiliza liza weeeee atajiliza weeeeee ilimradi tu aonewe huruma acheni hizooo mbona mademu hawalii lii kisa sisi.
Baadhi ya wanaume wanajidharaulisha sana pindi wanapomuona demu kisa tu ana bonge la taaaako alafu ni mweupe au maji ya kunde au chokolate basi lijamaa ndiyo duka lake linafilisikia hapo na demu akishamkomba tu mtaji wa bwana sele…. sele anabaki kulaani sasa aaah wanawake wa siku hizi ni wa hovyo sana kumbe ukichunguza kwa makini utagundua hapo bwana sele ndiyo wa hovyo kiwango cha lami.
Imefika hatua eti wanawake wanaona kama vile sisi hatuwezi kuishi bila wao ila wao wanaweza kuishi bila sisi na huu upuuzi tumeutaka wanyewe kwa baadhi ya wanaume kuwanyenyekea sana hawa mademu… ifike mahali kila mtu aringe na alicho nacho *****.
Demu akishajiona anatako tu anajipa access ya kushobokewa hadi na viongozi wa dini mamaaee na kweli inakuwa hivyo what the hell is this?
Sasa hivi nina mwezi mmoja naingia zangu gym nakula tizi moja matata sana na mwili umekatika hatari sasa hapa nilipopanga kuna demu anabonge la taaaaakooo kama umeziona zile muvu za inye za mzee majuto nafikiri utanielewa vizuri…. Majamaa wanajikomba sana kwake ila mimi niko mbali simshobikei kama alivyozoea kushibokewa na mapimbi wengine….
Anakaaga nje anafua ngua na kanga moja mazee sasa na mimi nikitoka natoka kifua wazi mamaae anaone kifua kimekatina na kina manyoya kibao kama nyani sasa kumbe demu anadata nikitokaga hivyo nje kifua wazi anawaambia wale majamaa majirani nao wananiambia ( imefika hatua sasa kila mtu aineshe alichonacho.. weka tako niiweke kifua cha van damme). Na ligi imemshinda maana kashaanza kunisifia kuwa yule kaka anakifua kizuri sijapata kuona na taarifa nimezipata hahaha.
Sasa hivi ifike hatua wanaume tujiupgrade kama walivyojiupgrade wao hakuna kulilia mtu hapa….. Yaani kibao eti kimegeuka kabisa yaani zamani wanawake walikuwa wanalilia sana wanaume eti leo hii wanaume ndiyo wanalilia sana wanawake aiseee inashangaza.
Mimi sasa hivi nikionaga kundi la wanawake wa mujini wanapitisha matako yao na mimi navua shati na wao ndiyo wanaanza kuangalia kwa kutamani kukishika hahahaha wazeee tujipende acha kuishi umekondeana kama mbuzi aliyezaa alafu mtoto akafariki, pigeni tizi na msishobokee mtu. OOOVER.
S
Unajua katika chunguza chunguza yangu ndani ya miaka ya hivi karibuni kumekuwa na wimbi kubwa sana la wanaume wanaolia lia eti kisa mwanamke ni mzuri basi jamaa atajiliza liza weeeee atajiliza weeeeee ilimradi tu aonewe huruma acheni hizooo mbona mademu hawalii lii kisa sisi.
Baadhi ya wanaume wanajidharaulisha sana pindi wanapomuona demu kisa tu ana bonge la taaaako alafu ni mweupe au maji ya kunde au chokolate basi lijamaa ndiyo duka lake linafilisikia hapo na demu akishamkomba tu mtaji wa bwana sele…. sele anabaki kulaani sasa aaah wanawake wa siku hizi ni wa hovyo sana kumbe ukichunguza kwa makini utagundua hapo bwana sele ndiyo wa hovyo kiwango cha lami.
Imefika hatua eti wanawake wanaona kama vile sisi hatuwezi kuishi bila wao ila wao wanaweza kuishi bila sisi na huu upuuzi tumeutaka wanyewe kwa baadhi ya wanaume kuwanyenyekea sana hawa mademu… ifike mahali kila mtu aringe na alicho nacho *****.
Demu akishajiona anatako tu anajipa access ya kushobokewa hadi na viongozi wa dini mamaaee na kweli inakuwa hivyo what the hell is this?
Sasa hivi nina mwezi mmoja naingia zangu gym nakula tizi moja matata sana na mwili umekatika hatari sasa hapa nilipopanga kuna demu anabonge la taaaaakooo kama umeziona zile muvu za inye za mzee majuto nafikiri utanielewa vizuri…. Majamaa wanajikomba sana kwake ila mimi niko mbali simshobikei kama alivyozoea kushibokewa na mapimbi wengine….
Anakaaga nje anafua ngua na kanga moja mazee sasa na mimi nikitoka natoka kifua wazi mamaae anaone kifua kimekatina na kina manyoya kibao kama nyani sasa kumbe demu anadata nikitokaga hivyo nje kifua wazi anawaambia wale majamaa majirani nao wananiambia ( imefika hatua sasa kila mtu aineshe alichonacho.. weka tako niiweke kifua cha van damme). Na ligi imemshinda maana kashaanza kunisifia kuwa yule kaka anakifua kizuri sijapata kuona na taarifa nimezipata hahaha.
Sasa hivi ifike hatua wanaume tujiupgrade kama walivyojiupgrade wao hakuna kulilia mtu hapa….. Yaani kibao eti kimegeuka kabisa yaani zamani wanawake walikuwa wanalilia sana wanaume eti leo hii wanaume ndiyo wanalilia sana wanawake aiseee inashangaza.
Mimi sasa hivi nikionaga kundi la wanawake wa mujini wanapitisha matako yao na mimi navua shati na wao ndiyo wanaanza kuangalia kwa kutamani kukishika hahahaha wazeee tujipende acha kuishi umekondeana kama mbuzi aliyezaa alafu mtoto akafariki, pigeni tizi na msishobokee mtu. OOOVER.
S