kwani aliyeoa haruhusiwi kusifia kitu kizuri?
Hahahahaaaaaa....Sasa kama hajiswafi huko kusini mwa Afrika tumsifie tu.Ndo haohao bdaye mnakuja hapa kuwananga ooh wananuka vipapa!! Hawaogi! Mtindi maziwa ugali na samaki loh!!
Nyinyi mkapewa vya.... malizia basic ndo mana walipewa vya kusimama!!
mi mwenyewe namtokea toka mwaka 1995
Siku hiz kila mtu mzuri hamna mbayaa