wanawake wengine wazuri jamani!!!

wanawake wengine wazuri jamani!!!

Ingekuwa ni mimi ningemuuliza mwenyewe!!
 
yani wewe ni muzee ambaye una mtoto ambae ameoa? au sijaelewa, dah wazee wa siku izi balaa nadhani huyo kijana angekuwa ni bint yako hiyo tathmin ingemuhusu... Dah mbaya sana kama true aisee
Rafiki angu kaoa
 
weka picha tuhakikishe, maana wengine watu mapolygon mnasema wazuri!!!
 
1379331195407.jpg . Mia
 
Sio kweli, Mungu ndiye anayewaumba hivyo na jukumu la kuwatongoza katupatia sisi wanaume...

Kama umempenda basi mtongoze umfanye awe mkeo.

Kama hauna uwezo basi endelea kula kwa macho na utuache wenye uwezo wa kuzeveza tujibebee...

Umeelewa???

Nimekuelewa mkuu
 
Mungu akiamua kumuumba kiumbe wake anaumba banaaaa!!! We acha tu.
 
Mungu akiamua kumuumba kiumbe wake anaumba banaaaa!!! We acha tu.

Hahahaa BAK bana....yaani kama nakuona vile....

Ndo maana siku zingine huwa naenda mall hata kama sina cha kununua🙂
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
anza kuandaa talaka maana haiwezekani uone mwanamke mwinginwe ni mzuri kuliko mkeooooooo
 
Sio kweli, Mungu ndiye anayewaumba hivyo na jukumu la kuwatongoza katupatia sisi wanaume...

Kama umempenda basi mtongoze umfanye awe mkeo.

Kama hauna uwezo basi endelea kula kwa macho na utuache wenye uwezo wa kuzeveza tujibebee...

Umeelewa???

nadhani amekuelewa.........

ungekuwa Mwalimu wanafunzi wangefurahi sana........
 
yani wewe ni muzee ambaye una mtoto ambae ameoa? au sijaelewa, dah wazee wa siku izi balaa nadhani huyo kijana angekuwa ni bint yako hiyo tathmin ingemuhusu... Dah mbaya sana kama true aisee
Hawa "vikongwe" wakiulizwa kwa nini wana-behave hivyo, wanasingizia kuwa "ng'ombe hazeeki maini"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom