Nakubaliana na we japo siko kwenye ndoa lakini nimekuwa na amani Sana pale tunapoachana na mtu kwa amani na kusameheana.Nafarijiwa sana na Maneno ya wakolosai 3:12-13,pia waweza soma 1petro 3:1-13 lakini kwa hii mada mstari wa 8 na 9 umeleeza vyema.Nakutakia wkend yenye amani ya MUNGU.
nina tatizo la kutokusamehe
Mungu anisaidie
yaani hata kitu kidogo tu napata wakati mgumu kusamehe,
Mkuu Kiwa, hii ni hadithi tuu au ni kweli?!. Kama ni kweli, nani amekupa ruhusa kuingilia "rights to privacy" ya mambo binafsi ya watu, kuyaleta in public?!, na unapotokea msiba, hizi sio story za kuleta, kwa sababu hapa utembebesha lawama za bure huyo mke as if kutokusamehe ndio kulikosababisha Rob apoteze maisha!. Rob saa yake ilikuwa imefika!.Kweli ukikosea step kwenye kuoa ni regret kubwa.Mshikaji wangu Rob alifunga ndoa yake Mwaka 2007, Alimwoa mdada wa kisukuma beautiful in body structure and face tall and attractive mshikaji alimpenda sana wife wake and good thing alikuwa anampa kila alichotaka. Kuna kamgogoro kaliibuka, it was a normal conflict as hata plates zina collidevfvvRob's wife hakusamehe and Rob is not alive anymore atazikwa kesho.Bushushu. R.I.P bro & friend.
Mkuu Kiwa, hii ni hadithi tuu au ni kweli?!. Kama ni kweli, nani amekupa ruhusa kuingilia "rights to privacy" ya mambo binafsi ya watu, kuyaleta in public?!, na unapotokea msiba, hizi sio story za kuleta, kwa sababu hapa utembebesha lawama za bure huyo mke as if kutokusamehe ndio kulikosababisha Rob apoteze maisha!. Rob saa yake ilikuwa imefika!.
Pia nina mashaka kidogo kama kweli huyo mwanamke ni binti kweli wa Kisukuma, kwa sababu ukioa binti wa Kisukuma ukweli ukweli, hakunaga mgogoro wa aina yoyote unaoweza kupelekea mke kurudi kwao!. Hawana tatizo wivu, na hata ukiamua kumleta nyumbani, anaweza kukupisheni chumbani na yeye akalala sebuleni!, sasa kijimgogoro gani kilimpelekea binti wa Kisukuma kurudi nyumbani kwao?!.
If at all its true!, then, Rip Rob!.
Pasco
Kweli ukikosea step kwenye kuoa ni regret kubwa.Mshikaji wangu Rob alifunga ndoa yake Mwaka 2007, Alimwoa mdada wa kisukuma beautiful in body structure and face tall and attractive mshikaji alimpenda sana wife wake and good thing alikuwa anampa kila alichotaka.Mwaka mmoja baada ya ndoa yao walifanikiwa kupata Mtoto. Kuna kamgogoro kaliibuka, it was a normal conflict as hata plates zina collide.Hii conflict ilimsababishia dada kurudi kwao bahati nzuri Rob alipenda kujishusha akaenda kwa wakwe yakaisha.
Wakapata mtoto wa pili Rob akawa kwenye harakati za kufanya ujenzi wake kule Bushushu it was a good step in life Kamgogoro kengine kakaibuka kakali kuliko kale ka kwanza as usual mdada akasepa.More than a year in separation, Rob juzi kati hapa akadhamiria kabisa kurudiana na wife wake walee watoto wao wawili, akaamua kwenda hadi kwa mchungaji. Wife akaitwa Rob akamwomba sana wife wake warudiane.Akaomba msamaha mkubwa tena ule wakupiga Magoti mbele ya Pastor wife kachomoa, akagoma kabisa,inasemekana kuna deal alishazianza huko Dar.. Na kwa msisitizo akaamua hadi kwenda kuchukua alivyokuwa amebakiza kwa Rob.
Hii kitu ilimuumiza sana Rob compare na nguvu aliyotumia ku apologies and what he got in returns.Alipata shida moyoni mwake, alihuzunika sana watoto wake kuwa mbali na mama yao, na ujenzi ulikwishakamilika.Ilichukua kama siku 2 hivi akili kumrudi.
Last thursday Rob alitoka walau kukutana na baadhi ya wadau kabla yakurejea kwenye deal zake.
He spoke few words on what happen and then kapiga beer zake mbili.Around 4pm akawasha gari yake kuelekea Kahama.Aisee Rob hakufika Kahama salama, maeneo ya Usanda few Kilometers to Tinde.
Akapata ajali, bad accident kwenye gari walikuwa wawili,yeye na fundi mmoja.Fundi alifariki palepale,Rob alikimbizwa hadi Hospital ya Mkoa Shinyanga government he passed away.
Mke wake nae ndiyo alikuwa anarudi Dar after a big separation.
Alivyopata habari za kifo cha Rob, akageuza safari back to Shinyanga, akapata ajali maeneo ya Igunga bahati nzuri yeye hakuumia sana, alipelekwa hospital na akaruhusiwa na kashajiung
Hii kitu inaumiza sana msamehe mtu kabla usiku haujaingia hujui what is next.Rob's wife hakusamehe and Rob is not alive anymore atazikwa kesho.Bushushu. R.I.P bro & friend.
RIP Rob.Katika ndoa au
mahusiano yakawaida msamaha ni kitu kizuri sana.Asante kwa kutukumbusha
kuwa tuwe tunasamehe before haijawa too late maana kama Mungu
anatusamehe na midhambi yetu lukuki why sisi tusisamehane?Na tumuombe
Mungu sana atuongoze katika hizi chaguzi zetu maana ukikosea tu kidogo
lazima ujute maisha yako yote.
Kama umelijua tatizo ni nusu ya kutatua. Jitahidi usamehe maisha mafupi.nina tatizo la kutokusamehe
Mungu anisaidie
yaani hata kitu kidogo tu napata wakati mgumu kusamehe,
Nakuja pm nahisi utakua my x girlfriend.Mpaka wakati huu cjamsamehe boyfriend wangu...mmmhh!!!!...it's okay lakini.
Katika kesi hii Labda kiwatengu tuambie bidada hakusamehe kabisa au alisamehe akakataa kurudiana naye?
Mkuu everlenk ki ukweli siku dhamiria kuandika sana kuhusu huyu dada (mrembo) ambaye watu wengi walishajaribu kumshawishi arudiane na mume wake lakini akagoma..
Huyu dada ni mzuri as alivyoolewa na expensive man!! naona akapanda zaidi, i know her since she was at O-level kasomea Rajani secondary na ni msukuma (mnyantuzu) wa Bariadi...
Kikubwa kwake nafikiri ni ile kujiona si mtu wa kusumbuliwa na hataki shida..
Inawezekana aliona kuwa anauzika popote!!
Rob alikuwa mstaarabu (namjua) na mwelewa..
Mtu wakujishusha!! mtu mwingine ukishuka ye anataka apae..
Kakutanishwa mara kibao hataki kuelewa..
Tena na watu wenye heshima zao kagoma!!
Sasa sijui huyu shemeji yangu baada ya huu msiba ataenda wapi..atabaki na watoto ambao tayari alikwisha waacha, ataenda nao au atabaki kuwalea..
CC; PesaNdogo, Cyan6