Pole kwa gelofrendi kuugua muda usiomuafaka, muda wewe unahitaji mkajienjoy yeye anataka umsaidie gharama ya matibabu
Pole pia kwa kudhania singomama hatakiwi kuomba pesa na kwamba akiomba pesa basi hajielewi, labda ujaribu kwa ambae sio singo mama mtaelewana kuhusu hilo
Lakini inawezekana kweli alikua mgonjwa na alihitaji msaada wako;
ama inawezekana pia kipimo ulichokua unatumia kumpima yeye kwamba asiombe pesa, ndio kipimo hicho hicho na yeye ametumia kukupima wewe kwa kukuomba pesa tena ya matibabu ili ajue kama anaingia kwenye mahusiano na mtu anayejali au laa
Wenyewe watoto wa mjini wanakuambia ukitaka mwanaume akuache muombe pesa🤣🤣
Omba-ombaKIFUPI WANAWAKE WA KIAFRIKA NI OMBA OMBA NI BORA UNUNUE AU UMUITE UONGEE NAE KABSA KWAMBA SIKU MKIKUTANA NDO UTATOA PESA LAKINI KINYUME NA HAPO NO MONEY
Vijana wa siku hizi mnalalamika mno. Yaani mnalalamikia hadi majukumu yenu ya kijinsia halafu hadharani😎Mnazinguaa🙂
Usipokubali Kuliwa Kidogo, HuliMpaka uje uwafahamu wanawake vizuri utaliwa sana hela kijana
Ndiyo Ukweli WenyeweVijana wa siku hizi mnalalamika mno. Yaani mnalalamikia hadi majukumu yenu ya kijinsia halafu hadharani😎
Siku Nyingine Atumie Hit And Run PolicyUngemfuata mwenyewe umpeleke hospitali mguu kwa mguu tena na dawa ameze mbele yako uone asingerudia huo ujinga
Pesa ikiwa ngumu sana dawa ni kuachana na mambo mengine tuu. Haswa ya wanawake🤣🤣Ndiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu
😂😁🤣😅😄😃😁😂🤣
Pesa Imekuwa Ngumu Sana
Unakula Ugali Unashiba Huumwi Popote Haa 😀😁😂😅😄Pesa ikiwa ngumu sana dawa ni kuachana na mambo mengine tuu. Haswa ya wanawake🤣🤣
Vijana wa siku hizi mnalalamika mno. Yaani mnalalamikia hadi majukumu yenu ya kijinsia halafu hadharani😎
Dogo Semenyaaaaaa umeibuka tena. Vipi kibarua chako cha kuchunga mbuziDunia inapambana na Single Mama's kama inavyopambana na magaidi.
Natamani kujua hivyo vihela ulivyompa ni kiasi gani hadi utokwe macho kama unafanyiwa tohara ya kienyeji.
Okay.Hakuna mwanamke mrahisi Kama single mum.
Mwisho wa mwezi Kama jana mpitishe Urafiki kwenye soko la jumla, nunulia yeye mchele wa mwezi, viazi vya wiki, unga wa mwezi, mafuta ya kupikia, mkungu wa ndizi Kama Ni mtani nunua mikungu miwili weka kwa gari, maharagwe na karanga kilo tano.nunua na nyama safi pale Zanzibar butchery ya mwezi. Mpelekee nyumbani kwake.
Neut siku tatu........
Angalizo.
Usije ukamnunulia mwanamke wa nje gari au kiwanja au nyumba au kitu chochote Cha kudumu.
Uchokozi huu. [emoji16]ngoja masingle Mather waje
[emoji16][emoji16][emoji16]anatoa pesa kabla hajapewa chezo ...yaani kachezeshwa 3mzukaMimi nadhani wewe ndiye hujielewi. Wanaume hatuendi hivyo.... Umetoka kijijini leo nini?