Mu7
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 1,654
- 2,002
Nimejaribu kudate na mwanamke mmoja aisee, majanga. Nimemtoa out vizuri tu, tumekula vizuri tu, tukanywa poa tu, tumepiga stori safi, nikarusha nyavu zikanasa.
Tumekubaliana hatuwezi kusex mpaka tupime afya zetu. Tulipanga siku ya kupima na tukakutana fresh. Tumepima tukakutwa wote tuko fresh. Kabla ya hata siku ya kupima oil, nikaanza kupigwa mizinga. Mara hela ya saloon, mara vocha! Nikawa natoa nikijua hatimaye na mie nitapozwa.
Nilianza kumhisi ni kisirani, kwenye mawasiliano ya texts ana lugha kali na ya kuudhi hata kabla hatujazoeana vizuri.
Sasa tumepanga siku ya mgegedo. Siku moja kabla ya siku yenyewe ananitext kichwa kinamuuma. Siku yenyewe asubuhi ananitext anaumwa sana na anaomba nimtumie kwenye M-Pesa hela ya matunda na ya kusukia. Nilijibu tu SINA.
Hahahahaahaha......mbona alikuwa mbogo. Alifunguka kuwa nina lugha mbaya sana simjali kabisa. Ningekuwa namjali ningetumia hata lugha laini kuwa LEO SINA LABDA KESHO!!
Nimeamua kumpiga chini asijekunipa stress zaidi akishanizoea. Kama hata tunda sijala tayari haeleweki.... atanisumbua huko mbele.
Hawa viumbe hawajielewi kabisa!!?
Tumekubaliana hatuwezi kusex mpaka tupime afya zetu. Tulipanga siku ya kupima na tukakutana fresh. Tumepima tukakutwa wote tuko fresh. Kabla ya hata siku ya kupima oil, nikaanza kupigwa mizinga. Mara hela ya saloon, mara vocha! Nikawa natoa nikijua hatimaye na mie nitapozwa.
Nilianza kumhisi ni kisirani, kwenye mawasiliano ya texts ana lugha kali na ya kuudhi hata kabla hatujazoeana vizuri.
Sasa tumepanga siku ya mgegedo. Siku moja kabla ya siku yenyewe ananitext kichwa kinamuuma. Siku yenyewe asubuhi ananitext anaumwa sana na anaomba nimtumie kwenye M-Pesa hela ya matunda na ya kusukia. Nilijibu tu SINA.
Hahahahaahaha......mbona alikuwa mbogo. Alifunguka kuwa nina lugha mbaya sana simjali kabisa. Ningekuwa namjali ningetumia hata lugha laini kuwa LEO SINA LABDA KESHO!!
Nimeamua kumpiga chini asijekunipa stress zaidi akishanizoea. Kama hata tunda sijala tayari haeleweki.... atanisumbua huko mbele.
Hawa viumbe hawajielewi kabisa!!?