hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 54,254
- 79,957
Sure [emoji16][emoji16]Ungemfuata mwenyewe umpeleke hospitali mguu kwa mguu tena na dawa ameze mbele yako uone asingerudia huo ujinga
Sure [emoji16][emoji16]Ungemfuata mwenyewe umpeleke hospitali mguu kwa mguu tena na dawa ameze mbele yako uone asingerudia huo ujinga
[emoji3][emoji3][emoji3]kmmkDunia inapambana na Single Mama's kama inavyopambana na magaidi.
Natamani kujua hivyo vihela ulivyompa ni kiasi gani hadi utokwe macho kama unafanyiwa tohara ya kienyeji.
Nimejaribu kudate na mwanamke mmoja aisee, majanga. Nimemtoa out vizuri tu, tumekula vizuri tu, tukanywa poa tu, tumepiga stori safi, nikarusha nyavu zikanasa.
Tumekubaliana hatuwezi kusex mpaka tupime afya zetu. Tulipanga siku ya kupima na tukakutana fresh. Tumepima tukakutwa wote tuko fresh. Kabla ya hata siku ya kupima oil, nikaanza kupigwa mizinga. Mara hela ya saloon, mara vocha! Nikawa natoa nikijua hatimaye na mie nitapozwa.
Nilianza kumhisi ni kisirani, kwenye mawasiliano ya texts ana lugha kali na ya kuudhi hata kabla hatujazoeana vizuri.
Sasa tumepanga siku ya mgegedo. Siku moja kabla ya siku yenyewe ananitext kichwa kinamuuma. Siku yenyewe asubuhi ananitext anaumwa sana na anaomba nimtumie kwenye M-Pesa hela ya matunda na ya kusukia. Nilijibu tu SINA.
Hahahahaahaha......mbona alikuwa mbogo. Alifunguka kuwa nina lugha mbaya sana simjali kabisa. Ningekuwa namjali ningetumia hata lugha laini kuwa LEO SINA LABDA KESHO!!
Nimeamua kumpiga chini asijekunipa stress zaidi akishanizoea. Kama hata tunda sijala tayari haeleweki.... atanisumbua huko mbele.
Hawa viumbe hawajielewi kabisa!!?
[emoji38][emoji38][emoji38] my ribsHuyu bwegge tu. Tulikubaliana kuhonga mwisho 10,000/= Tena nauli ya bodaboda/Uber baada ya kugegedwa
Ayeee[emoji1787][emoji1787]uyo mbona amekustahi sanaaa...ujakutana na wale wanaopaka tomato au kumwagia juice ya rozella kwenye taulo za kike kisha kuvaaa lengo akikwambia leo sijisikii, ukilazimisha unakutana na pad yenye tomato/rozella [emoji23] [emoji23]
Hivi mnadanganywaje hadi mnaanza kutoa hela hata kabla hamjawatafuna, hao wanahitaji uende nao kwa formula zote mbili ya kushambulia na kudefence
Naona umerudiDunia inapambana na Single Mama's kama inavyopambana na magaidi.
Natamani kujua hivyo vihela ulivyompa ni kiasi gani hadi utokwe macho kama unafanyiwa tohara ya kienyeji.
Umenifanya nicheke sana kushambulia na defence ahhhhHivi mnadanganywaje hadi mnaanza kutoa hela hata kabla hamjawatafuna, hao wanahitaji uende nao kwa formula zote mbili ya kushambulia na kudefence
[emoji16][emoji16][emoji16]Dunia inapambana na Single Mama's kama inavyopambana na magaidi.
Natamani kujua hivyo vihela ulivyompa ni kiasi gani hadi utokwe macho kama unafanyiwa tohara ya kienyeji.