We usomi na yote uliyosema yanahusiana vipi??
the longer the time in colleges the more the shafts. discuss
We usomi na yote uliyosema yanahusiana vipi??
tupo tele wala hatujasusia.tunatafakari.
Acha kuwashushia watu heshima zao!!
heshima wanajishushia wenyewe mami, mie hapa nawasilisha tu!
Haaaahaaaa heshima ndo mwaijua sasa hivi? yaani mlivyokua mnafanya kule vyuoni mmesahau? hata wewe nanihii jamani kweli, hebu muogope shetani basi...
na akishapata phd asi anakuwa msomi siyo\/ then?wote mmechemsha. ukweli n kuwa wanaume hawapendi wanawake wasomi kwani huwa wameishachakachuliwa mpaka basi! so inapoteza appetite ukizingatia kuwa wamenyweshwa nazi na midume mingine hadi makoo yamepata ukurutu na downstairs kumebakia vikambakamba tu, elastic material yote imenyauka na kusinyaa! hapo hujamgeukia mpinzani mkubwa wa voda, huko utakutana na bomba la TAZAMA! yaani hadi kichefuchefu. hiyo tu ndiyo sababu, hakuna nyingine
wanaume wajanja wanachukua kitu fresh na wanakiendeleza wenyewe hadi hata kwenye PhD
tupo tele wala hatujasusia.tunatafakari.
Hawawezi kujishushia coz hata kama ni kweli wanaume nanyi mnahusika!!Ila sio kweli...hiyo yote ni kampeni yakutaka wadada wakimbie kitabu ili mtuonee vizuri na mimi nakwambia HATUDANGANYIKI!heshima wanajishushia wenyewe mami, mie hapa nawasilisha tu!
na akishapata phd asi anakuwa msomi siyo\/ then?
dah kakangu una umri gan\/manake ulivyoandika mweeee
Hahahaha!We nawe....nimesema zao sio zetu!mi hainihusu!Alafu we utakua wale wale waharibifu!
na akishapata phd asi anakuwa msomi siyo\/ then?
dah kakangu una umri gan\/manake ulivyoandika mweeee
Hawawezi kujishushia coz hata kama ni kweli wanaume nanyi mnahusika!!Ila sio kweli...hiyo yote ni kampeni yakutaka wadada wakimbie kitabu ili mtuonee vizuri na mimi nakwambia HATUDANGANYIKI!
1.wanaume hawajiamaini
2. he thk atashndwa kuexercise udumelism,kibes na shuruba zote zile mwanamke asiyekuwa na mbele wala nyuma anafanyiwa
3.anazani heshima itapungua
NI INFRORTY FLAN YA KIUME JUU YA AKINA EVA....ni ujinga tu i can cal t......km unampenda na anakupenda elimu ,sjui hela kanizid inahusu nin?
kwan mkiwa paleeee yeye anaweza akaota naniiiina akawa wa kiume na wewe ukaota naniii ya kike?
mwanaume atabakia mwanaume mkike atabakia mkike daima dawamu cha muhimu ni kutambua majukumu yako full stop.
Mshauri huh?!Basi hongera kwakua na moyo wakujitolea hivyo!!Sasa anzisha seminar...unapita vyuoni kuwapa ukweli!Hapana mie nilikua mshauri wao, hasa pale wanapopitiliza... au siku wakipigana EXILE!!! Si mnakumbuka haka kamsamiati? wanawake wa chuo?? mhh labda umpate tangu first year
Wanaume wengi wanapenda kuishi na wake zao kwa ile style ya baba naomba, (Naomba hela ya chumvi baba, hela ya salon baba, hela ya.....baba). Na mfumo dume wa kijinga ( mnamwaga mwaga chakula kwa sababu hamjui gharama yake???, nani kavunja chupa yangu???, nani kafanya hiki na kile.......changu)
Hivi umeifanya nini hi gari yangu, kama hujui kuendesha si uiache tu nyumbani.
Duuuuuuuuu,
poa tu mama kama hamdanganyiki. hata mie wanangu nafanya juu chini wapige kitabu mpaka mwisho. ila kuna law fulani ya diminishing marginal fermininity inasema kuwa ukisoma sana, ferminine qualities huongezeka na eventually zitaanza kudiminish,
Huko siko jamani, mbona wifi/shemeji yenu shule imo na hakuna tatizo? hao wanaowaogopa ujue ni wezi tu! tena hakuna mwanamke rahisi kumpata kama msomi, maana wakishasoma si ndio wanashuka soko!! hata katibu kata anaweza kuopoa!
Jamaniiii wana JF, wanaume wengi wanakwepa kuchumbia wanawake wasomi au wenye kipato kikubwa, hata kama wana sifa zote za upendo wa dhati na uaminifu, ni kwanini hasa?