123Kape kumwita mbwa binadam mwenzio is not reasoning wisely........
maana nakukumbuka sana kuna kipindi pia ulikuwa unanitukana kisa we are viewing things differently
ndio maana hata sa hivi ulivyomwita Honey Faith mbwa nikajua tabia yako ni ile ile ya kutoa matusi
Asprin hivi naanzaje kukusaliti kwanzaPole sana mpenzi wangu. Achana nae huyo.
BTW nasikia umenisaliti eti.
MEN STOP KIDDING YOUR SELF GUYS!!....................
I think we are too artificial because men chose to wear makeups as ladies, and now ladies do not want to have the same look, so we opted for an exceptional make up style.
Mkiacha kujiremba tutarudi kwenye unatural but kama mkiendelea ndo kabisaa mtatuskia kwenye bomba,,,,,,,,,,,
HAHAHAHAHAHAHHA........WEEE ULIYE TUU UCHEKE UNA MBAVU?
Nshawapotezea. Mi hata nikikufumania live sikuachi, sembuse maneno ya kuambiwa?
tafuta ela kijana kama uwezo wa kugharamia hizo vitu vya bandia waachie wanaoweza
sio lazima kila mtu aanzishe thread kama huna jipya soma mawazo ya wenzako PERIOD
Mwanaume wa wapi huyo anahangaika na make ups? Huyo lazima atakuwa shoga.
Na mwaka huu tumewaamuliasi uende kwa wasioa bandia.
kucha wabandike wao kuneng'eneka uneng'eneke wewe
THE SO CLD WA-SHOW RUM??
hivi umewah kuwaona ma men wale wa fashion show? SIO LAZIMA AWE NI PUNGA but MOST OF THEM THEY LIKE BEING SMART.
zaidi ya kunyang'anyana make ups hawana lolote kwaza kwao wanajifunza kufanya matusi wanaharibu shape zao sijui ama sijui sura zitazeeka mie hata nashindwa kuwaelewa.
THANK GOD IF YOU AINT ONE OF THE
Ukiona bandia acha kachukue natural......
THE SO CLD WA-SHOW RUM??
hivi umewah kuwaona ma men wale wa fashion show? SIO LAZIMA AWE NI PUNGA but MOST OF THEM THEY LIKE BEING SMART.
zaidi ya kunyang'anyana make ups hawana lolote kwaza kwao wanajifunza kufanya matusi wanaharibu shape zao sijui ama sijui sura zitazeeka mie hata nashindwa kuwaelewa.
THANK GOD IF YOU AINT ONE OF THE
Nachural atawaweza? atuachie sisi tu......maana kila kitu ni mwendo wa alovera na GNLD products......kichupa kidogo kinafika hadi laki kumi.
Why uwwke minyelw ya bandia mmc pendi kwanza inanukaaaaaaaà kinyaaaaaa itafikiri panya kaoza
Na mwaka huu tumewaamulia
Namshukuru Mungu hajanijalia toto la kiume. Manake mwanangu wa kiume nimkute anajiremba. Namchapa risasi makalioni.
Wanaume tumeumbwa kufanya kazi. Mwanamke kaumbwa apendezeshe dunia. Mwanamke ni pambo la nyumba.
Wanawake wawe warembo, wanaume wawe wasafi. Nimesema mimi babu yenu. Na usafi wa mwanaume si wa mwili tu, bali wa vitendo pia. Amhudumie mwanamke wake kitandani mpaka ajisikie saffeyyy
Unafanya nini hapa? Twenzetu chitchat kule. MMU siku hizi majanga.
Namshukuru Mungu hajanijalia toto la kiume. Manake mwanangu wa kiume nimkute anajiremba. Namchapa risasi makalioni.
Wanaume tumeumbwa kufanya kazi. Mwanamke kaumbwa apendezeshe dunia. Mwanamke ni pambo la nyumba.
Wanawake wawe warembo, wanaume wawe wasafi. Nimesema mimi babu yenu. Na usafi wa mwanaume si wa mwili tu, bali wa vitendo pia. Amhudumie mwanamke wake kitandani mpaka ajisikie saffeyyy