PLL
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 882
- 400
na substitute za Dar has the same quality and nature!
C kweli yawezekana kua wew ni mvivu wa kuangalia...jaribu kuja pande nnazopatikana lol
na substitute za Dar has the same quality and nature!
MEN STOP KIDDING YOUR SELF GUYS!!....................
I think we are too artificial because men chose to wear makeups as ladies, and now ladies do not want to have the same look, so we opted for an exceptional make up style.
Mkiacha kujiremba tutarudi kwenye unatural but kama mkiendelea ndo kabisaa mtatuskia kwenye bomba,,,,,,,,,,,
HAHAHAHAHAHAHHA........WEEE ULIYE TUU UCHEKE UNA MBAVU?
hebu mwelekeze basi.......ato....mbaje?
leo miss strong umechomwa sana. acheni ubandia na muwe wasafi
Nashangaa......leo kadandia moshi kajua chuma!!!Kaangukia phumbu,watoto wote sagwa sagwa!!!!
C kweli yawezekana kua wew ni mvivu wa kuangalia...jaribu kuja pande nnazopatikana lol
You are saying it and not me!mmh.....hii nayo kali aisee,
Ina maana kuna ukweli hapo kuwa mpo artificial?
lIKE WISE YOU MEN................., lipshine kama sisi, nail polish kama sisi, enjoy face za marks kama siye.....................na bado hamieni kwa susen mbebe mikoba na wallet kama sie.Misura ya bandia,mikucha ya bandia,minywele ya bandia na hata 'ikulu' za bandia. Halafu kwa kudengua motoooooo.Na kutembea kwa madaha ndio wenyewe. Hawana tofauti na maroboti....wanakereketa sana
umetokea wapi???maana unadandia jambo tu....wajua nani anajibiwa???
NA NIMEREASON WISELY KWELIKWELI NA REASONS GIVE TRUTH NAJUA VIZURI KUMWITA MBWA NI KUMDHARAU KWA NONO SENSE ZAKE ZA KUJIPA MOYO WAKATI YEYE NI TAKATAKA KABISA...FAKE MWANZO MWISHO...JE WEWE UNAFURAHIA KUWA FAKE!!!
/QUOTE]
WHO IS FAKE BTN LADIES AND MEN?
So funny sitaki hata kujua mi nawpa tu za uso yoyote aliye mbele yangu kiepic epic
Nashindwa kuwaelewa ma men a siku hz, manajidai mna swangaaa, wakati kila tukiwatafuta hatuwaoni..............mnapiga keleleeeeeeeee lakin mabingwa wa kushinda kwenye cosmetic shops ni nyie.
Tena siku hizi ukijinunulia ka fair&white kako ujue siku ka boy kako kanagonga gheto na kenyewe kanautimba.
MARA eti wanapaka nail polis na lipshine poda usisem na enjoy face.........
hahahahhahah!!! dukan kwa ZIZZOU tunapishana mara enjo face za marks, mara lipshine za lorys, mara sijui nail polish, na bado na kutinda mnatinda na wanja mnapaka.
Poor you men!!!...........SIKU HIZI SUSEN YUKO JUU NA MIKOBA NA WALLET ZA MAANA NJOON NAKO MTUGEZE ILI TWENDE SAWA............
lIKE WISE YOU MEN................., lipshine kama sisi, nail polish kama sisi, enjoy face za marks kama siye.....................na bado hamieni kwa susen mbebe mikoba na wallet kama sie.
Halafu kama nyie ndio kabisaaaaa mapoyoyo poyoyo kwa bedi mpaka mtu unajuta hivi kwann nilimvulia mtu kama huyu.
Hivi type hii ya wanaume mnawatoa wapi....lol..?
hapo kweli wote mmekutana, cheni bandia/pesa feki!mwendo mdundo
YOUR VERY RIGHT DUDE!!,,,,,,,,,,,,,,,Hivi kweli nsee a muro, tuongee ule ukweli kabisa,
Haya umepitapita huko, ukatongozwa, na kibwana chenyewe kinachokutongoza ndo hicho,
cha kugombania na wewe lipshine, nail posh na enjo face sijui,
hivi kweli hapo unategemea kuna mwanaume hapo?
yumkini huyo hata kitandani huwezi jiuliza mara mbili kuwa atakutosheleza.......
Tatizo macho yenu yanadanganyika kwa vingi katika kila yanachoona.......poleni