Wanawake wengi akili hazijatulia

Wanawake wengi akili hazijatulia

Kilaza

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2013
Posts
3,324
Reaction score
1,378
Wakuu

Salaam ni matumaini yangu nyote ni wazima.

Back to the topic

Leo kwenye pitapita zangu kwenye mitandao ya kijamii nikakutana na post moja iliyonifanya nijisemee maneno haya "wanawake wengi ni vichaa".

Post hiyo imeandikwa na kibinti cha Kenya sikuelewa alikuwa anatania au alikuwa serious lakini kiukweli ilinifanya nifikie uamuzi wangu hapo juu kuwa "mademu" wengi wana "vichaa" au wanamatatizo ya kufikiri.

Nanukuu post ya huyo binti inasema "I REALLY HATE SEEING A MAN WITH A MARRIAGE RING KWA MATATU.HOW DID YOU DECIDE TO HAVE A WEDDING BEFORE BUYING A CAR?

MEN SHOULD LEARN TO PUT THEIR PRIORITIES RIGHT.

Haitaji degree kuelewa kama hiki kiumbe kina matatizo.

NB nimesema WENGI sijasema WOTE natanguliza samahani kwa niliowakwaza

Usiku mwema
 
Anajijua ye ni mmoja kati ya wale wanawake wasiopenda kuolewa na wanaume wasio na magari,kama huna gari we si mwanaume na hutakiwi kuwa na mke. Makubwa!
 
Hahahahahhah...ni kwel mkuu,hivi viumbe vingi ni vichaa,yaan wale vichaa waliopendeza...
 
huyo bi dada alikuwa anatania, nadhani hakuwa serious.
 
Crazy like u ..... selfishness inakuendesha mwanamke mmoja wa kenya unatutukana wote pamoja na mama yako shangazi yako vichaaaa mfyuuuuu....

nilijua watu kama nyie hamkosekani ndio maana nikaandika

"NB nimesema WENGI sijasema WOTE
natanguliza samahani kwa niliowakwaza"

my mom she is my hero and a genius of her own kind
put her out of this ......

Asante
 
Hahahahahhah...ni kwel mkuu,hivi viumbe vingi ni vichaa,yaan wale vichaa waliopendeza...

wewe unatafuta vita yaani unamaanisha utofauti kati ya vichaa wa "mirembe" na hawa "viumbe" ni kwenye mavazi lakini akili ni sawa .....
 
Mwingjne alihama home akidai mume hajamnunulia gari. True story. Sasa kama sio kichaa ni nini huku akijua jamaa mshahara wake ni laki tano.
 
Mi mbona sioni tatizo na hyo post yake? Fact..myself I cnt imagn tht woman who married a man without a car
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom