Fanya researchNgoja tutajua kuna nini humo
Safar n ndefu eeeehNitafika tu mzeiya ila sasa sio leo wala kesho
Cheko hili duu kunywa na maji kabisa [emoji16][emoji16]Haha hahah haha hahah haha hahah haha hahah haha hahah haha hahah haha hahah haha hahah haha hahah haha hahah haha hahah haha hahah haha hahah
Haa haa haa naona hata za kwetuHaaaa damu zinakuwa zimeendana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahhahah auntie we upo kama mimi tuHahahaaaa!!! Mie kila kwenye sifa nimo, wakisifiw weupe nakuw amweupe, wakisifiwa weusi nakuwa mweusi, wakisifiwa wembamba hivyo hovyo.
Haa haa haa mkoan raha bhana watuKumbe Dar kuna raha!!! Huku mkoani pamoja na mvua na baridi kali, MTU hawezi kuacha kwenda kazini. Itabid nikaweke makazi ya muda huko ili nami nifaid
Wakat huo huo kuna wanaoangaikaUngekua wembamba hauna soko watu wasingehangaika na madawa ya kupunguza unene na madayati.
Portable easy to carry.
Co moto huo moto wa kwenye mashukaMoto wa gas au, sehemu nyingi maji jiko la mkaa unaliweka wapi
Utakuwa unajitetea tangu lini chips ikaliwa bila kachumbali? Mwanamke Nyama bhana sasa na hizi mvua utatoa wapi joto usiku ili upate usingizi? Maana kimbau mbau hakina joto mifupa tuUngekua wembamba hauna soko watu wasingehangaika na madawa ya kupunguza unene na madayati.
Portable easy to carry.
Ratio sio 50 50 lakinWakat huo huo kuna wanaoangaika
kuongeza mwili wapate unene
80/50Ratio sio 50 50 lakin
Wanaotaka kupungua 80%80/50
[emoji1] [emoji2] kuna watu mna dhambi jamani[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]Yani mke bwana awe mnene hata Kama sio Sana akikaa ndani anajaaa ukisema huyu ndio Mamma watoto yes akikaa kwenye gari mnasafiri ajae kwenye siti akikaa kwenye Koch amepiga bukta ajae kwenye koti Akivaaa Della aonekane kiuno matako mgongo na kifua sio mwanamke akivaa Della unatembea nae watu wanadhani uko na ustaadhi
Hyo 30% acha iake kwenye execsWanaotaka kupungua 80%
Wanaotaka kunenepa 10%
Wanaotaka wabaki walivyo 10%
Hahaaa huku mvua ya leo kiboko, unapanda gari masaa5 ndiyo ufike kazi piga pic unaondoka nyumbani saangapi, huku hata ukila ugali wako wa moto na vyama vingi tayari joto, karibu sanaKumbe Dar kuna raha!!! Huku mkoani pamoja na mvua na baridi kali, MTU hawezi kuacha kwenda kazini. Itabid nikaweke makazi ya muda huko ili nami nifaid
Mungu anakuona mkuu[emoji1] [emoji1]Mwanamke Mwembamba Ukimkumbatia Na Mvua Hizi Unakuwa Kama Upo Kwenye AC,Ila heavy weight full ujoto joto