Labda kuna asali ya kunenepaHahah!! Kawa na rangi mchanganyiko...
Seme wengi wakioa na kuolewa huwa wananenepa sijui kwenye ndoa kuna nini huko?
Itakua mabadiliko ya hali ya hewaNdiyo kilikuwa chembamba mno na hizo black wanazosema sasa kawa white usoni huku kwingine Mungu anisamehe
Vp wewe upo humo ndani?Kuna mengi mazuri
Na hii mvua huko DSM 70%Ilivyo ndivyo hivyo hivyo watu wapo nyumbani[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Ngoja tutajua kuna nini humoLabda kuna asali ya kunenepa
Ukiingia umitagNgoja tutajua kuna nini humo
Yes. Ndo maana "natoa ushuhuda"[emoji1] [emoji1]Vp wewe upo humo ndani?
Kwa hiyo unataka kunambia mvua ikinyesha hawaendi kazini!??Na hii mvua huko DSM 70%
Ndo wako wanaota moto
[emoji119][emoji119] basi sibishani na wewe ...Yes. Ndo maana "natoa ushuhuda"[emoji1] [emoji1]
Ni siri za kambi[emoji124] [emoji124] [emoji124][emoji119][emoji119] basi sibishani na wewe ...
ila kama hautojari naomba mfano wa jambo moja linaloleta unene kwa wanandoa
Sijui kuna nini kwenye ndoa, tuliokuwa miili kiasi tuna nawiri sasa hao vimbaumbau uwiii tuna wapisha wapite tu[emoji185][emoji185][emoji185][emoji185]Hahah!! Kawa na rangi mchanganyiko...
Seme wengi wakioa na kuolewa huwa wananenepa sijui kwenye ndoa kuna nini huko?
Kuna wawili tang jmos wako nyumbanKwa hiyo unataka kunambia mvua ikinyesha hawaendi kazini!??
Kwani rafiki unataka kuniambia na wewe hupo ndoani?Sijui kuna nini kwenye ndoa, tuliokuwa miili kiasi tuna nawiri sasa hao vimbaumbau uwiii tuna wapisha wapite tu[emoji185][emoji185][emoji185][emoji185]
Ndiyo hivyo tatizo wengi tunahesabu mabaya mazuri tuna yaachaKuna mengi mazuri
Kuzivujisha dhambiNi siri za kambi[emoji124] [emoji124] [emoji124]
Moto wa gas au, sehemu nyingi maji jiko la mkaa unaliweka wapiNa hii mvua huko DSM 70%
Ndo wako wanaota moto