Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,640
- 9,263
Mm mwanamke mwembamba ndiyo ugonjwa wangu. Napenda sana wembamba.Khaaaa mdomo wangu umebaki wazi kama wa Ushimen
Wanaume tunapishana
Mm mwanamke mwembamba ndiyo ugonjwa wangu. Napenda sana wembamba.Khaaaa mdomo wangu umebaki wazi kama wa Ushimen
Hongera zenu wamama/ wadada mliojaaliwa miili ya kushibaMungu hakunyimi vyote jamani unapema nyama ya haja
Ndio hapo sio wote wanapenda mabonge jamani asante mkuu kwa kutufarijiMm mwanamke mwembamba ndiyo ugonjwa wangu. Napenda sana wembamba.
Wanaume tunapishana
Mungu anakuona ujue!!Awe mnene kweli ila sio Kama unene wa ndalichako maziwa Kama maputo ya harusini
Awe mnene kweli ila sio Kama unene wa ndalichako maziwa Kama maputo ya harusini
Unaujua utamu wao kwenye kwichi kwichi hao unaosema mbau mbau? Au nawe ni tukunyemaHivi mwanamume Mwenye akiri timamu aliesoma mwenye dira Ya kimaisha unaenda kuoa mwanamke kimbau kisa ni msomi au anasura nzuri
Jamani mwanamke mwembamba hawezi kuwa kwenye bonge la nyumba akaonekana ni mama mwenye nyumba huonekana Kama msichana wa kazi tu, unatembelewa na Rafiki yako anaingia sebureni anamkuta kimbau kinapebea kwenye makochi jamani yani ukiwakuta wamekaaa kwenye kochi utadhani ni msichana wa kazi haya sasa aingie kwenye gari mnaenda kanisani anakaaa robo siti yani kuna Wakati unafikiri uko pekeee yako mtu akikuomba rifti ukisimama anafungua mlango wa mbele akidhani uko pekeee yako akifungua walllllaaaa kumbe kuna mtu
labda usawa huu ndio kakonda usipangie watu loveUkiwa mwongo uwe na kumbukumbu, kule umesema ww kibonge.
Watu mnamaneno jamani duu sijui mnawazaga nini mmm aiseee[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]Hivi mwanamume Mwenye akiri timamu aliesoma mwenye dira Ya kimaisha unaenda kuoa mwanamke kimbau kisa ni msomi au anasura nzuri
Jamani mwanamke mwembamba hawezi kuwa kwenye bonge la nyumba akaonekana ni mama mwenye nyumba huonekana Kama msichana wa kazi tu, unatembelewa na Rafiki yako anaingia sebureni anamkuta kimbau kinapebea kwenye makochi jamani yani ukiwakuta wamekaaa kwenye kochi utadhani ni msichana wa kazi haya sasa aingie kwenye gari mnaenda kanisani anakaaa robo siti yani kuna Wakati unafikiri uko pekeee yako mtu akikuomba rifti ukisimama anafungua mlango wa mbele akidhani uko pekeee yako akifungua walllllaaaa kumbe kuna mtu
Haya sawa wamekusikia waoaji [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]Yani mke bwana awe mnene hata Kama sio Sana akikaa ndani anajaaa ukisema huyu ndio Mamma watoto yes akikaa kwenye gari mnasafiri ajae kwenye siti akikaa kwenye Koch amepiga bukta ajae kwenye koti Akivaaa Della aonekane kiuno matako mgongo na kifua sio mwanamke akivaa Della unatembea nae watu wanadhani uko na ustaadhi
Auntie mambo za jf huzijui wewe huwa hatueleweki jinsia wala maumboUkiwa mwongo uwe na kumbukumbu, kule umesema ww kibonge.
Huuuuwiii michepuko ya waume za watu mnasikia mkiambiwa mnapendwa sikieni sasa mke anaheshimiwa ila tu hatujielewagi tu binadamu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Yani ukimpa gari aendeshe bwanaa weeee utadhani gari inajiendesha yenyewe maaana Hawa huwa gari linawavuta wanaendeshwa na gari badala Ya kuliendesha Hawa bhana kila sekta hawanogi eti wanavaaa kitandani maaana wanakunjika heeee mke wa ndani hakunjwi hufanywa taratibu kieshima mwendo wa taratibu taratibu kukunja hukunjwa michepuko
Yaani jamani utazani kuna mtu anamsemea [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hahahaaaaa!!! Eti ustadhi, watu mna maneno.
Hiyo hapo juu tayari katupiaKungekua na kapicha cha mwanamke mwembamba sasa
Kama huyu mremboView attachment 746300
Heeh! nimeona kumbe ndio wa namna hiyo aliekua anaongelewa?Hiyo hapo juu tayari katupia
Bila shaka atakuwa huyo huyo, sasa huyo akinenepa sijui atakujeHeeh! nimeona kumbe ndio wa namna hiyo aliekua anaongelewa?