Wanawake wembamba humpunguzia mume hadhi yake

Wanawake wembamba humpunguzia mume hadhi yake

Hivi mwanamume Mwenye akiri timamu aliesoma mwenye dira Ya kimaisha unaenda kuoa mwanamke kimbau kisa ni msomi au anasura nzuri
Jamani mwanamke mwembamba hawezi kuwa kwenye bonge la nyumba akaonekana ni mama mwenye nyumba huonekana Kama msichana wa kazi tu, unatembelewa na Rafiki yako anaingia sebureni anamkuta kimbau kinapebea kwenye makochi jamani yani ukiwakuta wamekaaa kwenye kochi utadhani ni msichana wa kazi haya sasa aingie kwenye gari mnaenda kanisani anakaaa robo siti yani kuna Wakati unafikiri uko pekeee yako mtu akikuomba rifti ukisimama anafungua mlango wa mbele akidhani uko pekeee yako akifungua walllllaaaa kumbe kuna mtu

anyway......sio kosa lako........
 
Ishu inakuja huyo mwanamke bonge akawa ‘kimbaumbau wa kichwani’...utaamza tena kutaka ‘bonge wa kichwani’
 
Huto twembamba sasa tunavyojua kujishaua. Tunavimba kweli kweli. Huo mdomo sasa tunaongea kama redio vile. Kwangu mimi wembamba hell no. Awe mnene ila siyo sana
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] atakuwa kama mbuyu, kuna dada alikuwa mwembamba mno, kwasasa tuliokuwa tunaonekana wanene tukiwa student sahizi mie simpati hata kidogo aliolewa nikiwa kidato 2 bonge ya mama
Alinenepa baada ya kuolewa?
 
Yani mke bwana awe mnene hata Kama sio Sana akikaa ndani anajaaa ukisema huyu ndio Mamma watoto yes akikaa kwenye gari mnasafiri ajae kwenye siti akikaa kwenye Koch amepiga bukta ajae kwenye koti Akivaaa Della aonekane kiuno matako mgongo na kifua sio mwanamke akivaa Della unatembea nae watu wanadhani uko na ustaadhi
[emoji3] [emoji3] [emoji3] Etii na usitaadhii
 
Wanaume tusiwachanganye wanawake. Kila siku tunakuja na matamko mapya wanashindwa wasimame upande upi?

Ushauri kwa wanawake, mjikubari jinsi mlivyo usitake kumvutia kila mtu(mwanaume).

Elewa kuna mwanaume unamvutia hivyo hivyo jinsi ulivyo.
Well said mkuu. Hadi Natamani nikupe zawadi. Ubarikiwe
 
Ndiyo kilikuwa chembamba mno na hizo black wanazosema sasa kawa white usoni huku kwingine Mungu anisamehe
Hahah!! Kawa na rangi mchanganyiko...

Seme wengi wakioa na kuolewa huwa wananenepa sijui kwenye ndoa kuna nini huko?
 
acha kuingilia maisha ya watu. Chagua chaguo lako wengine waache na hisia zao.
Hahhahahahahhahahah utakuwa unakimbau mbau hadiekimekuambukiza hasira na mdomo Vina mdomo hivyo vimbau mbau na Vina matusi angalia sasa kimbau mbau chako kimekuambukiza tabia sasa
 
Back
Top Bottom