Wanawake wazuri wazuri wameolewa.........................

Wanawake wazuri wazuri wameolewa.........................

ndo matatizo ya wanaume wa bongo.mwanamke akifanya kitu flani wanauliza? ila wao ni poa ukipandishwa cheo kazini umetembea na bos ila wao wakipandishwa wanastahili , mtabaki kuchonga tu najua umenielewa

Swala ni kwamba cheo chako kinavyopanda kinaendana na elimu na ufanisi wako wa kazi? kwakweli kwa wengi dada zetu haviendani ndio sababu wengi watasema vibaya. Sio wanaume tuu wataongea hivyo lakini hata mashoga zenu wa kike wanasema hivyo hivyo behind your back!
 
ndo matatizo ya wanaume wa bongo.mwanamke akifanya kitu flani wanauliza? ila wao ni poa ukipandishwa cheo kazini umetembea na bos ila wao wakipandishwa wanastahili , mtabaki kuchonga tu najua umenielewa
Vipi mbona umetokwa na povu bibie kheee kheeee
 
Hao manungayembe ndio yakoje????
Ili tujue kweli kwamba sifa walizona nazo hawana wanaoolewa na wao hawana sifa za wanaoolewa!
 
watakudunda wewe tunao wengi humu,nakumbuka nyimbo hii tuliimba harusini basi kutahamaki tukabaki wanaume watupu,wanawake wote wakasusa kwasababu hawajaole.....Na log off
Lol! Kazi kweli kweli
 
Kwani manungayaembe manake nini!!! mbona hamjibu!! mnaumia tu!! Loh!!

Maaana yake ni yale mashankupe au magumegume,kazi yao kubwa ni wizi wa waume za watu,halafu hayanaga aibu.
 
kama manake maembe mabichi, kwanini ilipigwa marufuku!!, Loh!

kwa sababu maembe mabichi ni ya kuliwa na wamama wajawazito.....na sio ya kuimbwa.....
 
kwa sababu maembe mabichi ni ya kuliwa na wamama wajawazito.....na sio ya kuimbwa.....

Loh! Preta na wewe ushawahi kula embe mbichi!!
 
Preta twende zetu kwa baba paroko tuwafunge hawa jamaa midomo achana na mambo ya kericho anakuchafulia passport yako ili siku tukiwa tunaenda visiwa fulani wakose pa kugonga bure.
 
DASA bana!

Sasa unatafuta ugomvi na manung'ayembe!
 
Preta twende zetu kwa baba paroko tuwafunge hawa jamaa midomo achana na mambo ya kericho anakuchafulia passport yako ili siku tukiwa tunaenda visiwa fulani wakose pa kugonga bure.

he he he....Kericho is there to stay....
 
Back
Top Bottom