aaakuh!! Sijasema mie!! Umewachokoza we mwenyewe!. Loh!
Shauri zako! Hujui kama husninyo ni Mngoni!.
Heheheh.. Mbona unanirushia mpira tena!! Ngoja aje!! aseme nani amemchokoza!! Loh!
Sijui kama utasalimika leo? mi nlikwambia wapo watakaokuja kukumeza ushaanza kuwataja mwenyewe
Husninyo kuna mtu ana shida na wewe...hebu njoo umtatulie
Preta na Husninyo wajibu hii!! Loh!
Kwa hiyo we mtoa maada unataka kutuambia wanawake wote ambao hawajaolewa ni manungayembe, au??
eheeeeeeeeeeee.........nice queation?
Atoe majibu sasa hivi
Akuuuh!!! mi sijasema hivyo!! we ndio wasema!! Loh!
Mwanamke mwenye tabia njema kuolewa ni fasta nungayembe lazima ligongwe kwanza mpaka litie akili ndo kuja kuolewa kudadadeki. Wanawake mmekuwa wakaaaaaaali si muanze kuoa kama India kama mnajafanya mna mihasiiiiiira. Hata mkinuna muoaji ni mwanaume akipenda ndio anatangaza nia hata kama ni mrembo vipi waweza kuchapa lapa ukiwa nungayembe.
Loh! Tumsifu Yesu Kristu!!
Loh!!!!!!!!