Wanawake wawili wamgombania General David petraus

Wanawake wawili wamgombania General David petraus

Natalia

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2011
Posts
4,324
Reaction score
1,900
Mpaka sasa hivi I'm still shocked.paula alikuwa anamtishia maisha mwanamke mwingine ambae ni kimada wa petraus.sasa inakuaje mwanamke unajua wazi mwanaume Ana mke na wewe kimada una mume unaanza kumtishia kimada mwenzio.wanawake sisi kazi ipo
 
Mpaka sasa hivi I'm still shocked.paula alikuwa anamtishia maisha mwanamke mwingine ambae ni kimada wa petraus.sasa inakuaje mwanamke unajua wazi mwanaume Ana mke na wewe kimada una mume unaanza kumtishia kimada mwenzio.wanawake sisi kazi ipo

Si mlisema jamani wazungu hawacheat?

petraeus-jet.jpg
 
Dada Paula aliyemfanya general P. kumwaga unga ndie huyu.....she's cute though!

DRFlvVjXDrFl.jpg
pet.jpg
 
Dada Paula aliyemfanya general P. kumwaga unga ndie huyu.....she's cute though!

DRFlvVjXDrFl.jpg
pet.jpg
Weka picha ya mke wake holy petraus Kama hujakimbia.mke wake kama kagongwa na truck vile.she deserve.Na huyu paula kumtishia maisha kimada mwingine wa petraus kutumia email ndio nini.huyo demi mwingine Akaita FBI.i can guarantee more women to come
 
All IN.jpg
acheni Paula awe mkali, amefanya kazi kubwa na wametoka mbali!
 
Maskini Mrs Petreaus!
Mungu akutie nguvu na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu


story.holly.petraeus.gi.jpg
uscentcom-commander-visits-troops-at-manas_090816.png
 
Mpaka sasa hivi I'm still shocked.paula alikuwa anamtishia maisha mwanamke mwingine ambae ni kimada wa petraus.sasa inakuaje mwanamke unajua wazi mwanaume Ana mke na wewe kimada una mume unaanza kumtishia kimada mwenzio.wanawake sisi kazi ipo

Husband wa Paula nae kaanza kuleta balaa

paula-and-husband-edit.jpg


article-2230782-15F1F3D9000005DC-9_634x450.jpg
Paula-Broadwell-Husband-Scott-Broadwell-and-Kids.jpg
 
Mke wake looks like she have been hit by a truck .she is vet hard looking

Haujajibu swali unaulizwa si mlisema wazungu hawa cheat?au unamaanisha wazungu wenye beatiful wives ndo hawa cheat?emancipate yourself from mental slavery
 
Mpaka sasa hivi I'm still shocked.paula alikuwa anamtishia maisha mwanamke mwingine ambae ni kimada wa petraus.sasa inakuaje mwanamke unajua wazi mwanaume Ana mke na wewe kimada una mume unaanza kumtishia kimada mwenzio.wanawake sisi kazi ipo

omeona eh...yaani alafu mlalamika sie tukiwamega na kuwaacha...yaani mwanamke kama huyo ni starehe tuu sio wakuweka ndani kama mke....ila huyu general so atakuwa yupo fiti katika kutoa dozi wacha agombaniwe lol...
 
jamani vijana tujifunze tusiwahi kuoa wakati bado hatujashika nafasi za juu matokeo yake ni kuoa uglies...subiri kwanza mpaka umepata cheo cha maana mbona warembo papuchi zai zinajileta tuu...wanavyopenda uspooni hahaha...ngoja nikae single mpaka nichukuwe nafasi ya gavana wa benki kuu
 
Mhhm angeowa mke mwingine mdodgo mdogo na mzuri, asinge kutikana na kashfa hio.
 
Mpaka sasa hivi I'm still shocked.paula alikuwa anamtishia maisha mwanamke mwingine ambae ni kimada wa petraus.sasa inakuaje mwanamke unajua wazi mwanaume Ana mke na wewe kimada una mume unaanza kumtishia kimada mwenzio.wanawake sisi kazi ipo

Natalia; hebu kwanza kalale sio wenzako ndio tunatoka vitandani hivyo! Hayo ya Kimada kuwa na power hivyo inategemea ni jinsi gani mwanaume mwenyewe alivyompa uhuru wa kuvuka mipaka.
 
Back
Top Bottom