MarianaTrench
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 1,213
- 941
Mpendwa jifunze kunyamaza pale unapokwaza.
Mtu akikuboa tu nyamaza kimyaaa maana kwa mwendo huo unaweza kuja kumtukana hata Mungu kwa kisingizio cha kuwa na hasira tu.
Mimi nimekusamehe na Mungu amekusamehe pia.
Mtu akikuboa tu nyamaza kimyaaa maana kwa mwendo huo unaweza kuja kumtukana hata Mungu kwa kisingizio cha kuwa na hasira tu.
Mimi nimekusamehe na Mungu amekusamehe pia.