wanawake wasio na shukrani

wanawake wasio na shukrani

nimekupata hapo..........,
kwa hiyo kama ana magari matatu ndo ahoonge tu bila mpangilio mwambieni na nyie
 
Wanawake wengine hamna shukrani kabisa eti mtu nimempa gari, nampa hela ya mafuta, nampa hela ya vocha, nampa hela ya shoping, sasa hv amenibeep mara tano kwenye simu. Na akija nmnyang'nya gari langu then namtosa akawabeep wajinga wenziye. Vocha nimempa elf20.

Mambo kusaidiana. Unamnunulia vocha anawapigia wasio na uwezo wa kununua, au unamnunulia simu wenzio wanasaidia vocha, unamnunulia PICHU wengine wanasaidia kumvua
 
hhahaha zitakuwa notifeki.pesa inatoka wakati wa matumizi haipigi talalila
 
mbona umekasirika hivo bro wkt ulimpa mwenyewe bila kulazimishwa?
 
Mapenzi ni vitu complicated ukiamini mapenzi ni pesa itabidi uombe ela ziwepo kila siku ili uweze ku-mantain na inahitaji miaka 10 ili baadae ndio mrembo atabadilika na kukushobokea si kwa sababu na hela zako la hasha inafika kipindi anajisemea mwenyewe acha nikae nae nitafanyaje sasa hivi nimeshakuwa mtu mzima.

Pesa itumike kwa kiasi kulingana na thamani halisi, sasa vocha alfu 20 anaongea na nani na kwa maisha yetu ya kibongo hizo alfu 20 za kuongea biashara au maongezi ya kiumbeya. UNAKUTA MWANAUME ANAMTOKEA DEMU ALAFU ANAMPA LAKI 2 ZA KUPANDA TAXI WAKATI ANAKOENDA TAXI NI MWEKUNDU, SI BORA HATA UNGETOA FIFTY ELA JIRANI NA MWEKUNDU ANAKUONA UPO REAL KULIKO HIVYO, NA WAO NI WAJANJA AKIKUONA UNAMSHOBOKEA KUPITA MAELEZO HATA KAMA ALIKUWA ANA NIA YA KUKUBALI ANAKUONA ZUZU, WADADA WANAANGALIA VITU VINGI AMBAVYO WANAUME WAKATI MWINGINE HATUVIJUI
 
....limbwata alokupa babu kubwa..unaweza ukakutana nae unawaza kumnyany'anya ukabadilika ghafla domo likajaa mimate ukapewa abnormal kiss ukamwongezea vocha, mafuta na kumpeleka lunch. we sema hamja....dana kwa mda mrefu
 
Wanawake wengine hamna shukrani kabisa eti mtu nimempa gari, nampa hela ya mafuta, nampa hela ya vocha, nampa hela ya shoping, sasa hv amenibeep mara tano kwenye simu. Na akija nmnyang'nya gari langu then namtosa akawabeep wajinga wenziye. Vocha nimempa elf20.

Mmmm huu uongo wenye fedha hawana makelele kama yako
 
Kime umanaa apo?
Kanunua simu kampa demu walivyo achana kampokonyaa?
Areareare
mmh ngoja niendele nakazi nilikua napita tu apa.

Tujikumbushe na wimbo wa Cosmas Chidumule "USITUMIE FEDHA KAMA FIMBO KAKA MPAKA PALE PATAKAPOKUWA NA MAKUBALIANO HAPO NDIPO PESA INA THAMANI"
 
Waongaji wa kiukweli hawaongeagi kabisa . We hapa unatafuta wadada wa JF wakushobokee tu hamna lolote.
 
Mambo kusaidiana. Unamnunulia vocha anawapigia wasio na uwezo wa kununua, au unamnunulia simu wenzio wanasaidia vocha, unamnunulia PICHU wengine wanasaidia kumvua

inauma sana kama huna roho ya uvumilivu waweza kumtoa mtu uhai.
 
sasa mbona unatokwa povu kaka, siku zote tunasemaga hhumu ndani penzi halinunuliwi kwa pesa, magari, nyumba nk nk..., wajinga ndo waliwao. endelea kuhonga kaka, mie ananiletea nakula tu. hata hilo gari jana ndo tulienda nalo bagamoyo tumerudi leo alfajiri. alikubip umtumie hela ya mafuta maana yalikata tulipofika tangbovu...
 
Waongaji wa kiukweli hawaongeagi kabisa . We hapa unatafuta wadada wa JF wakushobokee tu hamna lolote.

na hatampata mtu tushamjua..........,kama anataka wa kuhonga wanapatikana Buguruni Malapa
eti kama ana magari ma 3 afanyaje
where are you UNDENIABLE uje umuone huyu kijana wako
 
Wanawake wengine hamna shukrani kabisa eti mtu nimempa gari, nampa hela ya mafuta, nampa hela ya vocha, nampa hela ya shoping, sasa hv amenibeep mara tano kwenye simu. Na akija nmnyang'nya gari langu then namtosa akawabeep wajinga wenziye. Vocha nimempa elf20.

Umeshindwa kujilipia ada ukasoma upate akili leo hii za kumhonga mwanamke gari utapata wapi? Kweli ww noti 'fekelo'
 
Notifeki,
storifeki!

Siyo kosa lake, ishu ni kwamba kujisajiri JF ni bure tu, na haina complication hata mtoto wa miaka 13 kama anajua computer anaweza kujisajiri, hivyo tutegemee mengi tu humu ndani
 
Wanawake wengine hamna shukrani kabisa eti mtu nimempa gari, nampa hela ya mafuta, nampa hela ya vocha, nampa hela ya shoping, sasa hv amenibeep mara tano kwenye simu. Na akija nmnyang'nya gari langu then namtosa akawabeep wajinga wenziye. Vocha nimempa elf20.

Ahsanteeeeeeeeeeee!!!!!
 
Wanawake wengine hamna shukrani kabisa eti mtu nimempa gari, nampa hela ya mafuta, nampa hela ya vocha, nampa hela ya shoping, sasa hv amenibeep mara tano kwenye simu. Na akija nmnyang'nya gari langu then namtosa akawabeep wajinga wenziye. Vocha nimempa elf20.

Usitumie peeesa, kama fimbo kakaa
Mambo ya pesa hutaka makubaliano
Hapo ndipo pesa huwa na thamani eee

Ushawahi kuusikia huu wimbo wa Sikinde?

Pengine wewe ulishajionyesha kuwa a walking ATM, unategemea nini sasa?
 
Back
Top Bottom