Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,160
Wanawake wengine hamna shukrani kabisa eti mtu nimempa gari, nampa hela ya mafuta, nampa hela ya vocha, nampa hela ya shoping, sasa hv amenibeep mara tano kwenye simu. Na akija nmnyang'nya gari langu then namtosa akawabeep wajinga wenziye. Vocha nimempa elf20.
Asante kwa taarifa kuhusu demu wako. Je Mama na baba yako umewapa/zawadia nini?