Nchangamshedamu
Senior Member
- Aug 3, 2014
- 148
- 43
Napenda wanawake warefu. Ni wazuri sana. Mwanamke mfupi kwangu itokee tu[hilal kipozeo voice] ila kutoka moyoni mwangu napenda wanawake warefu.
kwimba kwetumsukuma wa wapi wewe ?
Magu
Kwimba
Ntuzu
Shy
Geita...
Heheheeeeeeeee we mwanaume ndio umekuja nisemea uku
sasa nimekusemaje tena besty...wewe wowowo lako na hips tuu wanaume wote jf lazima wakutamani
Hahahahahaa! Umenikumbusha mbali sana aisee,hehehehee, especially that part about high heels. Nakumbuka i used to date this guy, he's tall & everything ila alikua hataki kabisa nivae high heels kisa anasema nikivaa high heels naonekana zaidi (yaani i become attractive) and he didn't like other men admiring his woman, loh! We used to fight over this issue siku moja kumaliza mzizi wa ugomvi akaja akabeba high heels zangu zote kwenye shoe rack yangu,weeeeh! Mbona palichimbika siku hiyo,damn! I am a tall lady, 5,9" ila napenda sana heels,the higher the heels the better!
Wasifia ili upate zigo kirahisi enhe?
hahaha kwanza leo umenichomesha maindi mpaka nimekoma. jamani hutaki mie kuwaringishia vidume wengine ukiwa umevaa kicondom
Heheheeeeeeeee mahindi tu ngoja siku nikuchomeshe maharage....afu unakoerekea ntakuanzishia uzi
Hapa nimesema mimi napenda
mie nakusifia besty upate vidume humu kama wakina boss.
Wafupi ukorofi wetu nini??@Mzabzab
Napenda wanawake warefu. Ni wazuri sana. Mwanamke mfupi kwangu itokee tu[hilal kipozeo voice] ila kutoka moyoni mwangu napenda wanawake warefu.
Wanaonitongoza njian wananitosha best y nije tafta umu
sasa mkuu mbona umewakimbia wanyarwanda?
Kwa urefu wowote ule mwanamke akimzidi mwanaume urefu haipendezi.
Kwa hiyo ukiwazaa watoto wafupi hautawapenda? Vipi wewe kama ungezaliwa mfupi? Ungejiua?
Cousin ndio umekuja nitangaza uku na ufupi wangu