2013
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 11,358
- 6,059
Yani mi nawakwepa sana hawa watu...alafu wew itakuwa ndo zako kuwarudia X's
mapenzi shida pesa ndiyo kabisa niende wapi mimi
Hahahhahahahhaha Kiiirrrruuuuu!!!!
Hahahahaaaaaaaaaa! Im bussy doing INTERVIEWS, 2015 is my year natak kubadilisha mazingira kidogo. So most of the time nasoma, si unajua bibi kama mie kushindwa maswali ya interview ni aibu?:A S wink: