Bwajilo
JF-Expert Member
- Dec 5, 2021
- 345
- 880
Wanaume wakichepuka ni nadra ukute anamponda mkewe eti mshamba sijui ajui kuvaa au ajui mapenzi na majina ya hovyo hovyo. Mwanaume atakachofanya ni kumsifia mchepuko bila bugudha na fedhea kwa mkewe au atatumia ushawishi mwingine kinyume na watendavyo wanaweke.
Wanaume ukisikia mkeo au mpenzi wako aliingia ktk mahusiano na mtu anayefaham kuwa mwanamke kaolewa ujue ulivuliwa nguo na nyumba yako iko wazi bila mlango. Wanawake wanakauli mbaya sana ili kuhalalisha kuchepuka kwao ili wasionekane malaya. Kuna mwanamke nilisikia akimwita mumewe shetani, mwingine alimwita mpumbavu yule na matusi ya kila aina. Sasa nikajiuliza:-
Kwa nini wanawake mshindwe kuwatunzia stara watu wenu kwa mchepuko wako?, Hebu fikiri mtu anaeshinda juani kutwa ili akuvishe wewe, akulishe, na majukumu yote malipo yake ni hayo?
Fikiria mtu aliyejilipua na kuamua kukutoa nyumbani kwenu ukute ulishakutana na wanaume hata 30 na hakuna aliyethubutu kukuchumbia wote walikukwea na hawakuona thamani yako bado unakuja mtusi eti mjinga?
Badilikeni wake zetu, wanaume tunachepuka sana ila mjua tunawatunzia heshima zenu na ndio maana hata tukirudi home bado respect ipo juu kwenu kinyume na mtendavyo.
Wanaume ukisikia mkeo au mpenzi wako aliingia ktk mahusiano na mtu anayefaham kuwa mwanamke kaolewa ujue ulivuliwa nguo na nyumba yako iko wazi bila mlango. Wanawake wanakauli mbaya sana ili kuhalalisha kuchepuka kwao ili wasionekane malaya. Kuna mwanamke nilisikia akimwita mumewe shetani, mwingine alimwita mpumbavu yule na matusi ya kila aina. Sasa nikajiuliza:-
Kwa nini wanawake mshindwe kuwatunzia stara watu wenu kwa mchepuko wako?, Hebu fikiri mtu anaeshinda juani kutwa ili akuvishe wewe, akulishe, na majukumu yote malipo yake ni hayo?
Fikiria mtu aliyejilipua na kuamua kukutoa nyumbani kwenu ukute ulishakutana na wanaume hata 30 na hakuna aliyethubutu kukuchumbia wote walikukwea na hawakuona thamani yako bado unakuja mtusi eti mjinga?
Badilikeni wake zetu, wanaume tunachepuka sana ila mjua tunawatunzia heshima zenu na ndio maana hata tukirudi home bado respect ipo juu kwenu kinyume na mtendavyo.