Wanawake wanataka wenye...

Wanawake wanataka wenye...

Da umeongea ukweli mtupu. Wadada wanapenda kudanganywa.
 
Una ka upofu kakubwa sana dadamchangamfu,uelewa hauletwi na haujawahi kuletwa na elimu,wapo watu wengi sana wana madigrii na masters lakini uelewa ni sifuri,UMRI;hujawahi kusikia kubwa zima lakini hovyo?Hebu angalia kama yale mabunge kule mjengoni,kama elimu ingekua kigezo basi tungekua na matokeo chany sana bungeni.UMBO;hapa napo pana tatizo,unawajua wachina wewe?Je wana maumbo makubwa kama scania?Lakini hebu kamguse mkewe halafu uone!Wake zao hata kama likizuka varangati la watu kumi,wana uhakika na usalama wao.Umbo has nothing to do with protection dada yangu.Furaha na ridhiko lako haliletwi na mtu mwenye pesa,elimu wala umbo kubwa bali ANAEJITAMBUA!

Elimu na Umbo ni man made tu hivyo dadamchangamfu lazima aelewe kwamba kuwa na elimu ndio utakuwa na maarifa ya kutafuta fedha, kuna watu wanaelimu kubwa wao wanachojua ni kutafuta ajira zenye malipo makubwa bila kufikiri kwamba nitatumiaje elimu yangu kuweza kuongeza kipato nachopata kwenye ajira yangu. Kazi mtu anaweza kuikosa na mwili unaweza ukashuka kiwango kama betina. Kinachotakiwa hapa ni elimu ndio lakini tuende zaidi na kuwa na mkakati mrefu wa maisha
 
Sijaona kama umeonesha mawe hapo,kulikoni?

Ahaa...nilipitiwa kidogo, mawe muhimu ya kupalilia penzi. Wapenzi shti muende bichi, mlimani city, Quality centa, pale nanihiu kukuza na kuimarisha penzi. Sio kila siku home tu kula ugali na dagaa, hata kushangaa tu shida. akhuuu pesa yahitajika bwana.
 
Ahaa...nilipitiwa kidogo, mawe muhimu ya kupalilia penzi. Wapenzi shti muende bichi, mlimani city, Quality centa, pale nanihiu kukuza na kuimarisha penzi. Sio kila siku home tu kula ugali na dagaa, hata kushangaa tu shida. akhuuu pesa yahitajika bwana.

like x52 mamie. mawe ndo mpango mzima co ntake kwenda kuteketeza sh.50000 salon aanze kulalamika. hapo ni nywele tu. bdo pedicure na makorombwezo yote. . .
 
like x52 mamie. mawe ndo mpango mzima co ntake kwenda kuteketeza sh.50000 salon aanze kulalamika. hapo ni nywele tu. bdo pedicure na makorombwezo yote. . .

Mtaani kwetu kusuka buku 5, mara moja kwa mwezi. Pedi, vocha, vichipsi... kama una uwezo wa kuprovide buku 15 kwa mwezi kwa mdada... unapewa hadi 0713....
 
Mie niliyajua hayo, nikatafuta darasa la saba mwenzangu tukaoana........................LOL
 
Eiyer: umekosea sana mapenzi hayana umri,elimu.sura ni sawa na usiku wa giza umeshindwa mwenyewe, mapenzi ni kuridhika kimwili kiakili kwa ujumla satisfaction.
Ikiwa unaridhika na mwenzi anaridhika tosha kwa maana nyingine umeshindwa kumfikisha(peak) mpenzi wako ushauri wangu jitahidi kumfikisha mwenzi wako kimapenzi sehemu yake uone matokeo yake,hakuna cha elimu,uchafu,sura wala fedha inayoweza kumzuia asiwe karibu na wewe.kitu maisha mengine matokeo.
Kuridhika ni kitu kidogo sana lakini ni nguzo kubwa katika mapenzi,tatizo vijana wa leo puling power hakuna,ndiyo maana wazee vijana wanashinda gemu kila wanapoingilia kati iwe ni kwa mke wa mtu,mchumba wa mtu au vibinti vidogo visivyojua mapenzi hadi vianachanganyikiwa.someni vitabu,fanya mazoezi kabla relax chunga maneno yako na maana yachambue kabla haujamueleza mwenzi wako jaribu kuwa na maneno yenye mvuto na matumaini utaoa hata malkia ukitaka.

Kama unadhani nimekosea,hebu soma post za wanawake ndo utajua nini nilimaanisha!
 
Wanawake tunapenda vitu vingi, wanaume wanapenda vitu vingi ila upendo hushinda vyote. Hapo sasa ndo true love inapoapply.

This kind of ladies does not exist nowdays!
 
Ahaa...nilipitiwa kidogo, mawe muhimu ya kupalilia penzi. Wapenzi shti muende bichi, mlimani city, Quality centa, pale nanihiu kukuza na kuimarisha penzi. Sio kila siku home tu kula ugali na dagaa, hata kushangaa tu shida. akhuuu pesa yahitajika bwana.

Hivi umewahi kujiuliza babu yako na bibi yako waliimarishaje penzi mpaka leo wapo pamoja?
 
Mtaani kwetu kusuka buku 5, mara moja kwa mwezi. Pedi, vocha, vichipsi... kama una uwezo wa kuprovide buku 15 kwa mwezi kwa mdada... unapewa hadi 0713....

Umenena mkuu,kumbe mpaka 0713 unapata!!. . . .Afanaaaleki!!. . . . .
 
Hivi umewahi kujiuliza babu yako na bibi yako waliimarishaje penzi mpaka leo wapo pamoja?

Unafikiri kulikuwa na upendo pale? we mtu kaletewa tu mke/mume bila kujuana wakakubali. Hawa mmoja mke alikuwa anavumilia tu hata akitendwa vipi? nakumbuka mke akipata kipigo au akirudi kwao kwa namna yoyote wazazi au ndugu wa mke walimrudisha kwa mumewe tena si kwa majadiliano ni amri sharti arudi. Ni uvumilivu tu wa aibu au mila ziliwafanya wanawake wabakie. Tumeshuhudia mitoto ya nje mingi tu, Kukaa kwenye ndoa kwa muda mrefu si kwamba kuna upendo na kuvunjika kwa ndoa si kwamba wanandoa hawakupendana, labda kuna kitu kimekosekana hapa kwa kizazi hiki.
 
like x52 mamie. mawe ndo mpango mzima co ntake kwenda kuteketeza sh.50000 salon aanze kulalamika. hapo ni nywele tu. bdo pedicure na makorombwezo yote. . .

Wanajisahau kuwa huwa wanawapendaga waliojiremba au waliopendeza hafu kuwapendezesha wapenzi wao wanang"aka sasa sijui tutapendezaje kama wasipotuwezesha, lol. Eti true love......true love bila kupendeza. bila mashamushamu aka.
 
Hivi umewahi kujiuliza babu yako na bibi yako waliimarishaje penzi mpaka leo wapo pamoja?

nafikiri utofautishe enzi za mababu na mabibi na enzi zetu.hii ni karne ya 21 co karne ya kumi na. . . hata bible iko waz nyakat za mwisho watu watapenda pesa, na bible haisemi uongo hebu wacha tutimize maandiko kwan huwez pingana na bible. . . pesa ni sabuni ya roho. chezeya pesa wewe pesa ndo mambo yote. unaona bila pesa unavohangaika lait km ungelikuwa nazo wala huu uzi ucngekuwepo
 
Mie mtu wa kujishughulisha sana kimaisha, umri wangu ni kama miaka 33 hivi. Nina MSc na kipato(mshahara) changu kwa mwezi siyo kibaya sana (approx 4,000.00USD). Bahati mbaya au nzuri nimeisha funga ndoa (ya kiserikaili)na kuacha takribani wanawake wanne hivi, kwa vipindi vya miaka minne. Wanawake wawiliwakiwa ktk level ya BSc, mmoja form six na mwingine ni STD 7. Wote niliwapenda bila kufuata vigezo vya elimu au vipato vyao. Tatizo la kuamua kuachana ni kama hilihili ulaolitaja hapa sister... Wanalalamika eti nachelewa kurudi home. Kwa kuwa kitendo cha kurudi mapema nyumbani kinaniathiri pato langu, ninaamua kumwacha huru kila anayelalamikia

Mnisamehe wadada. Msinichukulie hapa kama mtu wa kujikweza, No! It,s all about sharing experince.

Eiyer mdogo wangu, wakati ule maisha hayajani-infletikia nilikubembeleza uende shule ukagoma.

Kiukweli mie siwezi kutoka na mtu wa std 7, hata kama ana hela kama kichaa kwa sababu najua atajisikia inferior kila wakati. Na siwezi kutoka na mtu mwenye hela nyingi sana kwa sababu nitakuwa sensitive akichelewa miadi tu nitaona ananidharau. Staki kusikia 'baby, naomba tusitoke/nisije kukuona, k
na business deal imejitokeza....', nita-fume japo ingekuwa ni dili la mzigo wa vitunguu ningekuwa fresh.

Ila kaka, kwani hata wewe si una vigezo vyako kabla ya kumtokea binti? Waache na wao waweke vigezo. Mi naulizaga cv na bank statement za miezi 3 upfront kabla hata ya utani wa kimapenzi,lol
 
Wanajisahau kuwa huwa wanawapendaga waliojiremba au waliopendeza hafu kuwapendezesha wapenzi wao wanang"aka sasa sijui tutapendezaje kama wasipotuwezesha, lol. Eti true love......true love bila kupendeza. bila mashamushamu aka.

aalaa,et wanapenda waone umependeza ndo waanze kukuitaita. ukiwa rough hupat hata salamu.wanasahau kuwa kuna kugharamika et.! pendezesha kwanza kisha tumia kwa raha zakoa lol. . .
 
aalaa,et wanapenda waone umependeza ndo waanze kukuitaita. ukiwa rough hupat hata salamu.wanasahau kuwa kuna kugharamika et.! pendezesha kwanza kisha tumia kwa raha zakoa lol. . .

Wakiona vyaelea wajue vimeundwa........waendelee kututunza tu. Kama hawana pesa na nanhii zao walale mbele.
 
This kind of ladies does not exist nowdays!

Kwani ni wanaume wangapi wangefurahia kuoa wake wanaowazidi elimu au kipato? Kama wapo huwa wanahitaji penzi la muda mfupi tu sio ndoa. Kuna wanaume wengi tu anaweza akawa amevutiwa na wewe ila ukisema tu elimu yako anaanza kukuita dada. Wengine hajaribu hata classmates wenzie. Mi naona pande zote hii inahusu na huvunjwa tu pale penzi la kweli linapoonekana otherwise kuna wanaume na wanawake wengi wameoona kwa hizo sifa tu na kuwaacha wale waliowapenda ukweli.
 
Kwani ni wanaume wangapi wangefurahia kuoa wake wanaowazidi elimu au kipato? Kama wapo huwa wanahitaji penzi la muda mfupi tu sio ndoa. Kuna wanaume wengi tu anaweza akawa amevutiwa na wewe ila ukisema tu elimu yako anaanza kukuita dada. Wengine hajaribu hata classmates wenzie. Mi naona pande zote hii inahusu na huvunjwa tu pale penzi la kweli linapoonekana otherwise kuna wanaume na wanawake wengi wameoona kwa hizo sifa tu na kuwaacha wale waliowapenda ukweli.

Aahaaa double R umenichekesha sana hapo kwa red
 
Back
Top Bottom