Wanawake wanataka wenye...

Wanawake wanataka wenye...

So,kama sio mgongaji mzuri ndo ishu,mwenye mawe masitaz ndo dilieeeee!

Ishu ni vyotevyote, kuwa na upendo wa kweli, jali, jua wajibu wako kama mwanaume, gonga vizuri maisha yanakwenda. Sio kujifanya mnajua kitandani tu, mbona hamuwaoi machangudoa wanaojua kazi.
 
Naona wanawake mnafunguka kweli kuhusiana na fake love
 
Wahenga walisema, "ndege wanaofanana huruka pamoja", ingawa kiukweli wakati mwingine hata bundi huruka na njiwa.

Wanawake wengi hupenda mwanaume anayejiamini, mwenye malengo ya maendeleo hata kama leo hii hana elimu, je vision yake ni ipi, sio kujirusha tu wakati unategemea hela ya demu, atasepa tu.

Wangapi wana elimu ya STD VII, wameoa warembo wa uhakika kweli kweli na wanazo vile vile.
 
Kwa maisha ya siku hizi halafu mwanaume akose vyote yaani elimu na pesa mtaishije sasa??kama hana elimu then awe na pesa na kama hana pesa basi awe na elimu..mwanamke ukimzidi mwanaume pesa na elimu kila unachokifanya utaambiwa unamnyanyasa!
 
Kwa maisha ya siku hizi halafu mwanaume akose vyote yaani elimu na pesa mtaishije sasa??kama hana elimu then awe na pesa na kama hana pesa basi awe na elimu..mwanamke ukimzidi mwanaume pesa na elimu kila unachokifanya utaambiwa unamnyanyasa!
Purple, umeongea kweli kabisa.... ukute hana hela hana elimu ptyuuuuuuuu wa kazi gani LMAO!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Dah itabidi niamke sasa maana mie huwa nina ugonjwa wa kupuuzia vyote in the name of "Love Conquers all"! No wonder I failed.......................!
King'asti, una visa wewe? eti unaulizia Bank Statement kwanza

King'ast dada yangu huyo visa vyake navijua mimi!
 
Last edited by a moderator:
mapenzi kila mtu ana mtazamo wake aseee...achana na wadada :sad:wakisoma na wakiwa na hela tabu eti hawaoleki!!wasiposoma wakitafuta mwanaume watunzwe shida eti atm material:sad:mwanaume akipata pesa mwanamke anakua "si size yake hana exposure"
nimeipenda hii thread

Eiyer LIKE this one. . . . . . .
 
Ishu ni vyotevyote, kuwa na upendo wa kweli, jali, jua wajibu wako kama mwanaume, gonga vizuri maisha yanakwenda. Sio kujifanya mnajua kitandani tu, mbona hamuwaoi machangudoa wanaojua kazi.

Sijaona kama umeonesha mawe hapo,kulikoni?
 
Kwa maisha ya siku hizi halafu mwanaume akose vyote yaani elimu na pesa mtaishije sasa??kama hana elimu then awe na pesa na kama hana pesa basi awe na elimu..mwanamke ukimzidi mwanaume pesa na elimu kila unachokifanya utaambiwa unamnyanyasa!

This is the mind of an "independenti" lady!
 
Purple, umeongea kweli kabisa.... ukute hana hela hana elimu ptyuuuuuuuu wa kazi gani LMAO!!!!!!!!

Teh,te,teh,teh,itabidi unilipe kwa kuvunja mbavu zangu kwa kicheko!U made ma day charminglady!
 
Last edited by a moderator:
Eiyer: umekosea sana mapenzi hayana umri,elimu.sura ni sawa na usiku wa giza umeshindwa mwenyewe, mapenzi ni kuridhika kimwili kiakili kwa ujumla satisfaction.
Ikiwa unaridhika na mwenzi anaridhika tosha kwa maana nyingine umeshindwa kumfikisha(peak) mpenzi wako ushauri wangu jitahidi kumfikisha mwenzi wako kimapenzi sehemu yake uone matokeo yake,hakuna cha elimu,uchafu,sura wala fedha inayoweza kumzuia asiwe karibu na wewe.kitu maisha mengine matokeo.
Kuridhika ni kitu kidogo sana lakini ni nguzo kubwa katika mapenzi,tatizo vijana wa leo puling power hakuna,ndiyo maana wazee vijana wanashinda gemu kila wanapoingilia kati iwe ni kwa mke wa mtu,mchumba wa mtu au vibinti vidogo visivyojua mapenzi hadi vianachanganyikiwa.someni vitabu,fanya mazoezi kabla relax chunga maneno yako na maana yachambue kabla haujamueleza mwenzi wako jaribu kuwa na maneno yenye mvuto na matumaini utaoa hata malkia ukitaka.
 
Wanawake tunapenda vitu vingi, wanaume wanapenda vitu vingi ila upendo hushinda vyote. Hapo sasa ndo true love inapoapply.
 
Back
Top Bottom