Wanawake wanataka wenye...

Wanawake wanataka wenye...

Unakumbuka mambo ya wabibi na wababu, leo? karne hii?
You can't compare walivyoishi bibi na babu zetu enzi zile na leo, mwanaume huwezi kuepuka majukumu kwa mwanamke wako labda kama humpendi na isitoshe wanawake wanamahitaji mengi compare na wanaume. Mwanaume uko kwenye mahusiano na mdada hata kumnunulia pedi huwezi lol...!

Hivi umewahi kujiuliza babu yako na bibi yako waliimarishaje penzi mpaka leo wapo pamoja?
 
kazi kweli kweli ni mewasoma dada zangu na majibu safi na ushauri uliotukuka
 
gfsonwin mkianzia wote chini, hiyo ni tofauti; tena mara nyingi mkija kufanikiwa wengi wa wanaume husahau mlipotoka na kutafuta vimodel kwamba ndio hadhi yao at that moment.

Lkn mwanamke akiwa juu, chances kubwa sana ya ndoa kuwa na matatizo. Too bad kila mtu anahitaji mapenzi lkn isingekuwa hivyo, kuliko kugamble looking for 1 understanding man among 10, bora kuwa mwenyewe!

Kaunga umeolewa au una boyfriend?
 
Back
Top Bottom