min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 47,676
- 131,703
Beba mimba haujakatazwa bwashee
Beba mimba haujakatazwa bwashee
Au mambo yanayohitaji kufanya maamuzi magumu ( risk takingVITA inahitaji akili Sana .
Wanawake kiasili hawana uwezo wa kufanya mambo Makubwa yanayohitaji matumizi Makubwa ya akili.
Hapa tu hatutumii akili ila uharibifu ni mkubwa, tukitumia akili si mtafutika kwenye uso wa dunia 😁VITA inahitaji akili Sana .
Wanawake kiasili hawana uwezo wa kufanya mambo Makubwa yanayohitaji matumizi Makubwa ya akili.
I meant waache kutaka vitu laini ...waende na kariakoo kubeba ndwikaBeba mimba haujakatazwa bwashee
Haijaanza leo mbona, ilianza pale Eden
na nguvuVITA inahitaji akili Sana .
Wanawake kiasili hawana uwezo wa kufanya mambo Makubwa yanayohitaji matumizi Makubwa ya akili.
Imechochewa sana In recent yearsHaijaanza leo mbona, ilianza pale bustanini
Baada ya nyie kulegea legea katika nafasi zenu
Kuna vitu vingine maumbile yanakataa tu kiasili, mama samia kuwa raisi anaweza ila kuvua shati na kwenda kuchana magogo porini hawezi , kuna vitu sisi wanaume tushavipambania vikawa rahisi hata kwa mwanamke kuvifanya bila shida.I meant waache kutaka vitu laini ...waende na kariakoo kubeba ndwika
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Zanzibar ukienda wanawake wanabeba zege.na nguvu
Mwanaume akitembea kifua wazi barabarani ataitwa jasiri au ana Overconfidence.Kuna vitu vingine maumbile yanakataa tu kiasili, mama samia kuwa raisi anaweza ila kuvua shati na kwenda kuchana magogo porini hawezi , kuna vitu sisi wanaume tushavipambania vikawa rahisi hata kwa mwanamke kuvifanya bila shida.
Yote uliyoandika yanathibitisha kuwa 50/50 siyo mpango wa asili wa Mungu, ni harakati za wahuni tu kupingana na Mungu.Sio kutaka , maumbile ya mwanaume kiasili yamejengeka kupambana kwenye vitu vigumu , hivyo ni haki ya wanawake kutaka usawa kwenye vitu laini, mambo ya usawa mwisho wa siku na yeye ataomba popo Kanyea mbingu kwa mkewe na pesa ya uchakavu gademiiit![]()
Usinihusishe na habari zako za mungu.Yote uliyoandika yanathibitisha kuwa 50/50 siyo mpango wa asili wa Mungu, ni harakati za wahuni tu kupingana na Mungu.
Nikukunywe basi kama wewe mma...Ila kwanini siku hizi majadiliano ya wanaume kwa sehemu kubwa ni wanawake tu..... Yani mnafanya tujione spesho tujione mma 😁
Utamu hauna siri...Haijaanza leo mbona, ilianza pale Eden
Bro umentia nygNikukunywe basi kama wewe mma...
Nione kama unachumvi chumvi kweli kama hiyo Salt...
Ahsante kwa muongozo... Utamu hauna siri...Bro umentia nyg