Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 22,855
- 32,658
#PilikaPilika "Wanawake wengi wanataka usawa 50/50 lakini kwa Kwa mfano tukisema wanawake wote waende vitani halafu wanaume wabaki nyumbani, mtakubali nyie??....kwahiyo mnataka usawa kwenye vitu laini lakini kwneye vitu vigumu hamtaki usawa" @dr.mwaka
#PilikaPilika #EastAfricaRadio
Kwenye mambo ya kubeba cargo kariakoo (ndwika) mma hawataki
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
#PilikaPilika #EastAfricaRadio
Kwenye mambo ya kubeba cargo kariakoo (ndwika) mma hawataki

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app