Wanawake wanataka 50/50 kwenye vitu laini tu

Wanawake wanataka 50/50 kwenye vitu laini tu

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
22,855
Reaction score
32,658
#PilikaPilika "Wanawake wengi wanataka usawa 50/50 lakini kwa Kwa mfano tukisema wanawake wote waende vitani halafu wanaume wabaki nyumbani, mtakubali nyie??....kwahiyo mnataka usawa kwenye vitu laini lakini kwneye vitu vigumu hamtaki usawa" @dr.mwaka

#PilikaPilika #EastAfricaRadio

Kwenye mambo ya kubeba cargo kariakoo (ndwika) mma hawataki
Screenshot_20250705-064307.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Sio kutaka , maumbile ya mwanaume kiasili yamejengeka kupambana kwenye vitu vigumu , hivyo ni haki ya wanawake kutaka usawa kwenye vitu laini, mambo ya usawa mwisho wa siku na yeye ataomba popo Kanyea mbingu kwa mkewe na pesa ya uchakavu gademiiit 🚮
 
Sio kutaka , maumbile ya mwanaume kiasili yamejengeka kupambana kwenye vitu vigumu , hivyo ni haki ya wanawake kutaka usawa kwenye vitu laini, mambo ya usawa mwisho wa siku na yeye ataomba popo Kanyea mbingu kwa mkewe na pesa ya uchakavu gademiiit 🚮
Vitu laini wabaki navyo wao na vigumu watuachie.Waache kelele hao viti "maarum"!
 
Sio kutaka , maumbile ya mwanaume kiasili yamejengeka kupambana kwenye vitu vigumu , hivyo ni haki ya wanawake kutaka usawa kwenye vitu laini, mambo ya usawa mwisho wa siku na yeye ataomba popo Kanyea mbingu kwa mkewe na pesa ya uchakavu gademiiit
Fifty fifty iwe kwenye vyote

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
VITA inahitaji akili Sana .

Wanawake kiasili hawana uwezo wa kufanya mambo Makubwa yanayohitaji matumizi Makubwa ya akili.
Mimi naona kupigana vita nao ni ukichaa tu , tungewapa wanawake majeshi wachambane kiishe tu🤔
 
Back
Top Bottom