Wanawake wanaowatumia wanaume kingono

Wanawake wanaowatumia wanaume kingono

Hello guys

Kwa wale wanaume waosha rungu bila shaka mmeshakutana na wadada ambao ukimtongoza ni rahisi kweli kumpata, baada ya kugegedana, anaku-dump au anakupotezea for no valid reason..sasa unabaki kujiuliza whats this, coz kijamii imezoeleka kuwa baada ya ngono mwanaume ndo hum-dump mwanamke or wanaume ndo huwachezea/huwatumia wanawake kingono

These girls...hawakuombi hela wala nn, they are easy to get na wanachotaka toka kwako ni good sex..bhaaasi, hawa wadada wanakuwa hawana malengo ya kuolewa na wewe, kuzaa na ww, au atleast kuwa na mahusiano na ww kwa mda mrefu. Mm nilikutana nao watatu na niliwasiriba haswa..wazungu wanaita friends with benefits/casual sex

Though in my experience wadada kama hawa ni wachache, lakini they are much more better kuliko wale wanaokupiga vizinga..

Kuna wengine humu mshakutana na wadada kama hawa?
Ukiona hivyo ujue hujamfikisha. Usijichoshe bure kujitafiti zaidi.
Wapo akina mama wenye pesa zao na maisha matamu katika idara nyingine, lakini wanatamani kupata kitu extra, a good orgasm. If you don't deliver that then you are ditched outright, and she doesn't owe you an explanation.
 
Hahahahhaha hivi kumbe na nyinyi mnaumiaga eeee ...... eti kabisa unalalamika “she used u” hahhaha poleni saana !!!! Sijui kwanin nafurahig saana kuona hivi viumbe vinaumia
 
Wapo wengi.

No vizinga

Only good sex.

Siku akimiss good sex, anakutafuta tena.
Ukiwa provider mzuri wa sex, huwezi kuwa na demu mmoja kamwe.

They come again and again. Hatimaye unakuwa mtumwa wa ngono.(Mapenzi )
 
Mi kuna tulikubaliana tudaidiane tu.....free......tukasuuzana kila mtu akaendelea na maisha yake fresh fresh. Washkaji
 
Mama Sabrina ya kale ni Dhahabu. .....ebu tukajaribu tena
 
Back
Top Bottom