Wanawake wanaowatumia wanaume kingono

Wanawake wanaowatumia wanaume kingono

Wapo hao. Nilishakutana nao kitambo sana
 
Hapana unakua na hisia nae flani hiviii sasa ukifika ndani zile hisia badala ziongezeke unakereka. Sio suala la nyege hata
Labda nadhani unakuta ushatembea naye, alafu baada siku moja unakutana na mwingine mkali zaidi ya yule wa jana,

Hapa kuna kitu kutamani kuliko kupenda (mapenzi)
 
Labda nadhani unakuta ushatembea naye, alafu baada siku moja unakutana na mwingine mkali zaidi ya yule wa jana,

Hapa kuna kitu kutamani kuliko kupenda (mapenzi)
Hamna. Kuachana nae hakuhusishi kuona mwingine. Labda unawaza ukifika atakufanyia hiki na kile. Ila unafika hata kukuambia asante hawezi. Unagundua ni mchafu. Hajui kukiss. Ubongo wake haujui vitu vingi. Mwanaume wa hivyo kwa mimi mara moja tu namtosa.
 
Hamna. Kuachana nae hakuhusishi kuona mwingine. Labda unawaza ukifika atakufanyia hiki na kile. Ila unafika hata kukuambia asante hawezi. Unagundua ni mchafu. Hajui kukiss. Ubongo wake haujui vitu vingi. Mwanaume wa hivyo kwa mimi mara moja tu namtosa.
Naungana na wewe dadake,
Lakini kama umempenda utamuambia kasoro zake na kumrekebisha, kama umemtamani hutamuambia na utamtoroka (utamuacha solemba)

Na kama ulimtamani leo, kesho utamtamani mwingine , kesho kutwa utamtamani mwingine as result utakua umetupitia karibia wote
 
Hamna. Kuachana nae hakuhusishi kuona mwingine. Labda unawaza ukifika atakufanyia hiki na kile. Ila unafika hata kukuambia asante hawezi. Unagundua ni mchafu. Hajui kukiss. Ubongo wake haujui vitu vingi. Mwanaume wa hivyo kwa mimi mara moja tu namtosa.
Si bora umfahamishe!
 
Naungana na wewe dadake,
Lakini kama umempenda utamuambia kasoro zake na kumrekebisha, kama umemtamani hutamuambia na utamtoroka (utamuacha solemba)

Na kama ulimtamani leo, kesho utamtamani mwingine , kesho kutwa utamtamani mwingine as result utakua umetupitia karibia wote
Unakua umemtamani tu sasa unatafuta sababu ya wewe kumpenda. Ukikosa sababu ndo unaondoka
 
Dah! Kumbee eeh...
Kuna housegirl wa boss ananitumia bila kujua asee, ana miaka 27,
Hatukuwahi kutongozana hata siku moja ananiheshimu sana, siku nkafika kwa yupo mwenyewe akasema ana shida na mm, kuuliza shida gani akasema twende hadi gheto kwake, akasema anajiskia ham sana tufanye kidogo sikumkawiza, mara 3 ashanifanyia huo mchezo na baada ya hapo hamna story zozote hata mkiwa mnachati anaonyesha hataki mzungumzie hizo habari kabisaa, yaan km hamjawahi fanya chochote, ni mkimya sanaaa.
 
Nimewahi kuwa na demu wa namna hii tena ni lecturer kwenye chuo kimoja kikubwa tu hapa Tanzania!!

Huyu demu akitaka gegedo lako hata nauli ya pipa anakulipia unatoe dose tu... kuna siku alienda mwanza,wakati huo pia nipo mwanza,mwanaume nikapasha msuli kwamba leo nina heavy match,eeeeeee nikashangaa anasema hataki gegedo,kaja mwanza just for vacations tu!! Tangu siku hiyo nikafuta kabisa kama nina huyo demu!
Hadi leo hajaolewa,hua ananitafutaga tu,naenda kumudidimizia dushe,basi maisha yanaenda!! Now ni PhD holder
 
Nimewahi kuwa na demu wa namna hii tena ni lecturer kwenye chuo kimoja kikubwa tu hapa Tanzania!!

Huyu demu akitaka gegedo lako hata nauli ya pipa anakulipia unatoe dose tu... kuna siku alienda mwanza,wakati huo pia nipo mwanza,mwanaume nikapasha msuli kwamba leo nina heavy match,eeeeeee nikashangaa anasema hataki gegedo,kaja mwanza just for vacations tu!! Tangu siku hiyo nikafuta kabisa kama nina huyo demu!
Hadi leo hajaolewa,hua ananitafutaga tu,naenda kumudidimizia dushe,basi maisha yanaenda!! Now ni PhD holder
Una uhakika gani kama hawezi kuja kusoma hii post yako?
 
Back
Top Bottom