Wanawake wanaowatumia wanaume kingono

Wanawake wanaowatumia wanaume kingono

Ila unatakiwa walau kumfanya mhusika ajue kuwa anatakiwa kuongeza ujuzi kupotea kimya mnaishia kuwapa watu msongo wa mawazo
Huo muda hatuna sisi sio walimu wa mapenzi tunataka mapenzi.pia SAA zingine moyo tu unamkataa mtu Mkuu
Au ni mchafu hvo yaani hakuna formular
 
Kuna mmoja alikuwa mtoto wa mkuu wa wilaya flani hivi bongo!asee alikuwa anapenda kutiwa sijapata kuona.akakutana na mi dudu mshedede kila siku anakuja maskani akishakusalimia anakwambia utanikuta ndani.ukiingia yeye ashachojoa ameitenga tuu!kila siku mtifuano ikafikia akija hakuna hata kuamsha mzuka unachomeka tuuu na kupiga bampa to bampa.aahh kuna madem siku 2 akikosa anaugua
Ndo wazuri hao mkuu ... Unapata hamasa mda wote.
 
Kwenye kitabu cha song of lawino &ocol Kuna theme inasema
WANAWAKE NI CHOMBO CHA STAREHE.

Kumbe Kuna wanawake pia wanawaona wanaume ni chombo chao cha starehe??? Aiseeeee.
 
Wanawake wanapashanaga habari, Yule kaka ana li mdodoki la haja, ukididimiza mmoja utadidimiza rafiki zake wote. Utajiona bonge la mjanja kumbe umetumika kama chombo cha kuwastarehesha
Daaaaah umenikumbusha mwaka 2016 ..

Huenda Mchaga yule alikua waivo maana nikajikuta nakula,yeye ,dada watumbo moja ,nadada asokua watumbo.

Dhambi hii Najua nilishasamehewa ,ila niseme ile kitu iLiwafanya waende kupanga nawaendelee navyuo.

Hawa dada wawili, walizidi kuniuliza sana maswali, ,kipi namfanyia mdogo wao kiasi cha yeye kila mara kunitaja jina langu na kuwapa habar zangu wao ,sasa kutaka kujua kilichomo ,ikatokea ilivyotokea, nawalivyojuana. Ikawa ugonv mpaka wazazi wao wakawaamua kila mmoja akapange.

mpaka leo sina mawasiliano nao.
 
Daaaaah umenikumbusha mwaka 2016 ..

Huenda Mchaga yule alikua waivo maana nikajikuta nakula,yeye ,dada watumbo moja ,nadada asokua watumbo.

Dhambi hii Najua nilishasamehewa ,ila niseme ile kitu iLiwafanya waende kupanga nawaendelee navyuo.

Hawa dada wawili, walizidi kuniuliza sana maswali, ,kipi namfanyia mdogo wao kiasi cha yeye kila mara kunitaja jina langu na kuwapa habar zangu wao ,sasa kutaka kujua kilichomo ,ikatokea ilivyotokea, nawalivyojuana. Ikawa ugonv mpaka wazazi wao wakawaamua kila mmoja akapange.

mpaka leo sina mawasiliano nao.
Mmmh
 
Ila unatakiwa walau kumfanya mhusika ajue kuwa anatakiwa kuongeza ujuzi kupotea kimya mnaishia kuwapa watu msongo wa mawazo
Nyinyi ndo hamna maana kabisa kwenye sekta hiyo ya kupotea kimya bila taarifa. So ukifanyiwa hvyo kuwa mpole tu
 
Back
Top Bottom