iJamii
JF-Expert Member
- Jan 19, 2015
- 1,954
- 1,503
Haha! Haya bana yashanikuta mie mara 1 ninategemea mbeleni Mzigua90 mae atanionjesha na kunikimbiaNyinyi ndo hamna maana kabisa kwenye sekta hiyo ya kupotea kimya bila taarifa. So ukifanyiwa hvyo kuwa mpole tu