PhD holders tunao wengi sana,hasa wanawake wanaofundisha hapo chuo kikuu shehe!! Akisoma anaweza jua tu kumbe tupo wengi wenye hizi tabia basiUna uhakika gani kama hawezi kuja kusoma hii post yako?
PhD holders tunao wengi sana,hasa wanawake wanaofundisha hapo chuo kikuu shehe!! Akisoma anaweza jua tu kumbe tupo wengi wenye hizi tabia basiUna uhakika gani kama hawezi kuja kusoma hii post yako?
hamna kitu hapo hiyo manzi haiko sawa kichwani iangalie vizuri.Daah! Wanaume huu ni ukweli mchungu
ni kwa sababu una maumivu makali ndani yako bado hayajapona na yamejenga chuki dhidi ya male,hii thread inasomwa na wanawake wengi sana lakini angalia vizuri % kubwa ya wanawake wanaocomment utagundua kitu.Sijui kwanin nafurahig saana kuona hivi viumbe vinaumia![]()
Yaani we Miss unaonekana ni kibaka mzoefu. Majibu kao tu...Ukikutana nae unajifanya tu d unajua simu yangu mbovu nitakutafuta jomoni.kumbe hata namba yake huna
Hahahaha huyo mtu yuko poa sana.... kitaalam wanajina lao.... yaan ni sex only no feelings attached.Kuna mdada wa benki mkoa flani..
Kimasihara tu kaingia 18 zangu...
Nikapiga show ya maana tu usiku kucha...
Asubuh nashtuka hayupo.Kaniachia pesa sikujua kwanini.Nampigia simu hapokei, sms hajibu, Nikipita bank kwenye mambo yangu binafsi hataki kuniona wala kunisaidia kwa lolote.Nikamkaushia cha kushangazaa baada ya mwezi ananibembeleza nimkute sehem.Nafka kashavua nguo na kila kitu.Baada ya sex mikausho kama kawa.Imekua kawaida kwa mda wa mwaka nikashindwa nikampotezea mazima.
Juzi nimekutana nae Zanzibar .Kaniganda
Shtuka jombaaaaaa, unatumiwaaaaaa. lolDah! Kumbee eeh...
Kuna housegirl wa boss ananitumia bila kujua asee, ana miaka 27,
Hatukuwahi kutongozana hata siku moja ananiheshimu sana, siku nkafika kwa yupo mwenyewe akasema ana shida na mm, kuuliza shida gani akasema twende hadi gheto kwake, akasema anajiskia ham sana tufanye kidogo sikumkawiza, mara 3 ashanifanyia huo mchezo na baada ya hapo hamna story zozote hata mkiwa mnachati anaonyesha hataki mzungumzie hizo habari kabisaa, yaan km hamjawahi fanya chochote, ni mkimya sanaaa.
Nshashtuka asee,Shtuka jombaaaaaa, unatumiwaaaaaa. lol
Because you are a saddist.Sijui kwanin nafurahig saana kuona hivi viumbe vinaumia![]()
Wanaitwa "dominant mistress" hatareeeee,Nshashtuka asee,
Nikiomba gemu naambiwa mpaka aniambie yeye, safari hii namchunia akiomba tena
Yaani km unamsema yeye, ukimuouna huwezi jua ni mtata hivyo kwenye hayo mambo, na anapenda zile style korofi balaa, na gemu yake haina half time ni saa moja na nusu hadi mawili bila kupumzika anapiz mfululizo hadi anaishiwa nguvu.Wanaitwa "dominant mistress" hatareeeee,
kama unapenda rough sex ukikutana na wa hivyo lazima ukasimulie maana wanakua na fujo full kukuparua na mikucha yao, kukuslap hehehe hatareeeeeeeeeeeeee ngoja niishie hapa.
Ila mkuu wee ni ke au meWanaitwa "dominant mistress" hatareeeee,
kama unapenda rough sex ukikutana na wa hivyo lazima ukasimulie maana wanakua na fujo full kukuparua na mikucha yao, kukuslap hehehe hatareeeeeeeeeeeeee ngoja niishie hapa.

Lol, nawajua haoooooo.Yaani km unamsema yeye, ukimuouna huwezi jua ni mtata hivyo kwenye hayo mambo, na anapenda zile style korofi balaa, na gemu yake haina half time ni saa moja na nusu hadi mawili bila kupumzika anapiz mfululizo hadi anaishiwa nguvu.
Hahahaaaa, nmeuliza maana unavyowasemea na wewe ni ke nkabaki kushangaa tuu.Lol, nawajua haoooooo.
Mimi ni Ke hahaha