Wanawake wanaowatumia wanaume kingono

Wanawake wanaowatumia wanaume kingono

Hilo zari lishawahi nikuta karibu mara mbili... Sema huwa mwanaume unabaki na maswali mengi sanaa Hasa ishu ya UKIMWIII.. Maana demu hawezi toa papuchi kirahisi tu alafu kimyaaa... Duuh mzee noma sanaa...!!
 
Wanazinguaga tu na unakuta hajakupenda aisee. Wanawake kama Hawa hutakiwi kua na papara nao wanapojisogeza. Unatakiwa uwe na shughuli zako kama huwaoni vile. Na siku akikutunuku basi usiharakishe kumpiga miti Bali unakuwa tu romatic hivi. We jifanye hutaki sana hayo mambo. Mhudumie hiki MPE kile, mpleleke sehem kama diner au lunch. Usiwe na haraka kuomba gem. Ukimpa nice moments kabla ya sex basi anaweza kurudi na kurudi na kurudi. Kama ndo unakua huna hela kama Mimi ndo usahau kabisa kama atarudi. Nionavyo mm na uzoefu.
Ahahaaa mzoefu wa nini?
 
Hilo zari lishawahi nikuta karibu mara mbili... Sema huwa mwanaume unabaki na maswali mengi sanaa Hasa ishu ya UKIMWIII.. Maana demu hawezi toa papuchi kirahisi tu alafu kimyaaa... Duuh mzee noma sanaa...!!
Ni zari eeh
 
Nilishawai sikia kuna mdada ana tabia hzo so na mm nikajilengesha kwake akajaa mara paa akaja geto nikapiga then akaning'ang'ania na kuniganda mpaka kero..nilivyohama mtaa nikabadilisha na namba ya cm..pole yake popote alipo
 
Sasa utafanyaje. Na wao wanavyotupotezeaga wanakuaga wanaona hapa hamna kitu
Yaa Mara nyingi mwanaume akimpata mdada anaona hamna jipya. Mfano halisi Mimi hapa. Ninachofanya nikiona mdada mzuri na mlimbwende huwa naanza kuwa kuwa ni kweli ni mpya na mgeni. Basi huanza kuwaza pale nikimpata na kumpeleka labda gest au geto halafu tendo linalofata kweli ni mzuri lakini mnapoanza tu kuvuana na kuanza Yale mambo basi unacheki na kuona papuchi yake ilivyo na vile utakavyomkula utaingia na kuachia fataki kadhaa na hapo mchezo umeisha. Sasa bora uwaze mazuri ILA ukiwaza mengine kama kitunuku wengine kama wewe unaona eeh hebu nisijebeba maradh Bure.

Ila kinachotufanya wanaume wengine kuwatamani wanawake wapya ni nyege tu zinakua karibu. ILA kama MTU huna sana hizo nyege basi wanawake wote unaona wapo sawa na hakuna haja ya kutangatanga nao ukizingatia wengine ni wasumbufu kama miss natafuta ... (Utani miss bana usichukie eeh)...
 
Back
Top Bottom